JAMES RINGO
Member
- Jan 17, 2012
- 8
- 0
Lowasa amzidi jk katika maadhimisho ya sikuu ya maulid.ahudhuria mkesha jk akwepa!
Lowasa amzidi jk katika maadhimisho ya sikuu ya maulid.ahudhuria mkesha jk akwepa!
Tusubiri JMK na Gharib Bilal wahudhurie mikesha ya Krismas na Pasaka. Lowasa anahangaika sana. Juzi usiku alionekana kituko kama mende alieanguka ndani ya glasi ya maziwa.
ITV wana maelekezo maalum ya kutomwonyesha Lowasa kwenye habari zao?Ustaadh EL pembeni mwa Makamu wa Rais Dr Bilal, kasoro hakuvaa kanzu na baragashia! Yote hii anatafuta nini? Tuache utani, kweli madaraka ni matamu.
kikwe nae atajenga kanisa la Mtakatifu JakayaLowassa kawajengea waislam shule. Edward Lowassa islamic sec.
Jana kwenye sherehe za CCM Lowasa hakuonekana kokote. Vijembe vingi vilielekezwa kwake hata hotuba ya swahiba wake haikumwacha mbali. Aanze Plan B sasa. Dalili sio nzuri hata kidogo.Katika kuutafuta urais, huyu jamaa amefika mbali sana. ok ngoja tuone mwisho wake. Nape alipokuwa akizungumza star tv wiki iliyopita alimpiga vijembe kidogo, lakini mimi ninawasiwasi kwamba nape anaweza kuja kujutia matendo yake baadae, hajui uwezo alionao Mh, waziri mkuu aliyejiuzulu.
Nitawashangaa sana mtakapombeza EL, Mwalimu wakati anatafuta Uhuru wa Tanganyika, muda wote alikuwa yuko na wazee wa kiislam mpaka ilifikia kipindi nae akafunga kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa ramadhani.Ustaadh EL pembeni mwa Makamu wa Rais Dr Bilal, kasoro hakuvaa kanzu na baragashia! Yote hii anatafuta nini? Tuache utani, kweli madaraka ni matamu.
Kwa kunywa nae chai sawa.Lowassa ni chaguo la Mungu.Kama unabisha, pambana nae uone moto!
Ustaadh EL pembeni mwa Makamu wa Rais Dr Bilal, kasoro hakuvaa kanzu na baragashia! Yote hii anatafuta nini? Tuache utani, kweli madaraka ni matamu.