sisi kwa sisi
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 119
- 2
Lowasa hafai kabisa hata kuchukua fomu ya urais.
sio uchochezi. Lowasa ni mdini kupindukia, bora dk slaa hakuwahi kufunga mkataba wa kijinga kama huu wa lowasa. Nchi imekuwa na huduma mbovu za afya kwa mkataba huu.
Lowasa ni janga la kitaifa. Akikabidhiwa nchi vita vya kidini vitatokea tu
juu ya utetezi wako. Lkn bado lowasa ni mdini. Kukataa kuvaa kanzu mungu kamuumbua. Kavaa suti nyeusi kumaanisha yupo msibani hasa ya yeye kufunga mktaba na makanisa hapa nchini
ameanza harambee na huko, sie huku ametuchosha ametuma ujumbe kanisani kwetu eti kama tuna harambee tumjulishe.
kwani msibani watu hawavai kanzu?
aiseee lowasa ni msaniii kweli kufanya yoote hayo ni mbio za uraisi!
sI UNAJUA HUYO NI ADUI MKUBWA WA WAISLAM TZ? KITENDO CHA KUFUNGA MKATABA WA MOU NA MAKANISA NDICHO WAISLAM WNAACHOMPIGIA AKINYANYUA TU KIDOLE CHA KUTAKA URAIS. MAANA JAMAA NI MDINI NDIO MAANA KAONA AKIVAA KANZU ATAINGIA NAJSI. HIO ROHO ALIONAYO LOWASA KWA WAISLAM WATZ. WAISLAM WATZ WASHAJUA WANAMWACHA TU ASAGE KWENYE MABUSATI YA MISKITI.
CCM IKIJIPENDEKEZA KUMPA KIJITI CHA KUMPOKEA KIKWETE BASI WAJUE CHAMA CHAO KITAKUWA KUMBUKUMBU TU
Lowasa hafai kabisa hata kuchukua fomu ya urais.
lowassa, anawafanya chadema wote wanahara hovyo...na bado
tatizo kubwa aliofanya lowasa ni makataba wa mou. Ndio maana hata walimu wakuu wa ndanda leo wanajeuri ya kukataa amri ya waziri kwa kuwa ni muislamhapo ndipo waislam wenzetu tunapoangushana. Kwani kuvaa kanzu ni lazima. Kanzu si vazi tu kama yalivyo mavazi mengine. Waislamu wangi mbona huwa wanaingia msikitini bila kanzu? Leo iwe kwa lowasa mkristo? Tena sehemu yenyewe siyo msikitini, ni mnazi mmoja. Tuache hizo ndugu zangu.
mimi naona huyu Sheikh Freeman bin Mbowe pamoja na uhuni wake nadhani atatufaa zaidi kuliko huyu Edward "MoU" Lowassa
Mtu unaweza kufikiria kuwa Lowassa kajifunza kitu kumbe hana lolote bado anawendelea kuwadharau waislam
ushahidi huu hapa: