mie nna digrii ya kukari, nafaa?
Haufai shosti...endelee tu na umama lishe
nime-advance siku hizi nina cafe stend ya daladala
mimi nina BEDSC (Biology) napenda kusoma na nina GPA nzuri, mwaka jana nimeanza master of science with Education pale UDSM namejor biology,nina 26yrs, Ninampango wa kusoma mpaka PHD na double degrees ikiwezekana. Ila uwe kwanza full sponsor wangu wa shule kabla ya posa na dates.Hi all , Nahitaji mchumba ambaye anajiheshimu na mwenye kupenda kusoma , sifa kubwa awe ana Bachellor ya science hasa biological science or Education, nipo serious kwa mdada wa ki tz aliejaliwa hizo sifa ani PM her contacts inbox. Life is all about love!!!
mwaka wetu huu waalimu!!!!!!!
umri wako?
mwaka wetu huu waalimu!!!!!!!
umri wako?
usipoibua mwaka huu basi tena
mwaka hauishi huu!!!!!!!!!
umHaya bana kila lakheri...sijui hawa wadogo zetu waso na degree wataolewa lini maana kla siku kigezo n degree na sio uwezo wa kuzaa, kulea famlia, upendo, heshima kwa wazazi na ndugu wa pande zote, kumcha MUNGU na mambo kama hayo yasiyopatikana darasani..
kaweke bandiko love connect basi, nitakupigia kampeni
Nipo supermarket tayari, naona watu na mabandiko yao wanahitaji wachumba walimu.....
yani hadi sahivi kigezo cha umri tu ndo kinanikosesha ndoa mie!!!