Actions speak louder that ur words..punguza kumwambia kwa maneno prove kwa matendo
Actions speak louder that ur words..punguza kumwambia kwa maneno prove kwa matendo
Kwa nini hamuaminiani
Issue ya kwamba hujamtumia sms ndio iwe mwanzo wa kupoteza uaminifu
nafikiri kaeni chini muongee na mjue kuwa mapenzi sio mawasiliano ya kila saa na kuchat
maana kuna muda wa kazi kuna muda wa kuisha charge kwa simu, kuna muda ambao unakuwa so busy hata kuona simu inakuwa kero
Mweleze aina ya mapenzi unayotaka kuwa nayo na aheshimu muda vile vile
naamini inawezekana kuna la zaidi ya hapo ambalo analiona ndio maana hana imani na wewe
Usikate tamaa mapema endelea kuwa naye na kumweleza bayana hisia zako juu yake,naamin itafika mahal atakuamin tu
mapenzi ya kuanza bana very funny. itafika siku mtakaa siku nzima hata sms hakuna ukibahatika iyo siku ni itakayokuuliza leo utakula nini jion??? kaza buti safari bado ndefu.
Miezi mitatu ni michache sana. you should be tested against time