Love denied. Nitakupenda still.

Thanks. I just wrote this special for those parents who deny their lovely children from loving even at the acceptable age. Reread to get a point. My darling is suffering because of loving me.

I sometimes thought racially seggregated though i have not being told or signaled before.

wa kizungu au kiarabu bidada?
Poleh...nnachoshauri komaa muwe wapenzi kisirisiri,
simu,maskype nk zipo na kwani anashinda ndani daily???kama kweli mnapendana HAKUNA LITAKALOSHINDIKANA
hata me hapa acceptable age ila wazazi wakijua nna uhusiano na mtu fulani watazingua tu lazma...
Wazazi are naturally protective lazma wamlinde mtoto wao seeing anything suspicious..
 
mshinga welcome back..... I missed you kwakweli

back to topic mlikua na tofauti gani funguka mzee

thank you, nikieleza sana hatajisikia vizuri kama akiona, but in a simple way, only one of her parent is a Tanzanian, the other parent makes the difference between me and her though she was happy with me na hakuwa muoga hata rafiki zake walipojua na kunijua
 
hapa mkuu haujafunguka vizuri, kwelimambo mengine ni personal sanna, nadhani ndiyo uzuri wa anonymity hapa jf, kuna watu humu wanakujakuomba ushauri kwa matatizo makubwa mno ambayo ngumu kumwambia mtu, lakini watu wanafunguka biila uwoga na wanasaidiwa. funguka mkuu.
 
wa kizungu au kiarabu bidada?
mmmh, mulato.

thanks.

nnachoshauri komaa muwe wapenzi kisirisiri,
simu,maskype nk zipo na kwani anashinda ndani daily???kama kweli mnapendana HAKUNA LITAKALOSHINDIKANA
hata me hapa acceptable age ila wazazi wakijua nna uhusiano na mtu fulani watazingua tu lazma...
Wazazi are naturally protective lazma wamlinde mtoto wao seeing anything suspicious..
nimekuwa mpole kwanza but this doesnt signal end of our love. Things will get ok sometimes.
 
hapa mkuu haujafunguka vizuri, kwelimambo mengine ni personal sanna, nadhani ndiyo uzuri wa anonymity hapa jf, kuna watu humu wanakujakuomba ushauri kwa matatizo makubwa mno ambayo ngumu kumwambia mtu, lakini watu wanafunguka biila uwoga na wanasaidiwa. funguka mkuu.

message delivered for a forum just to reshape a community.

Hapa nilipo ninatumia jina langu halisi, wanamijua wapo hapa na kwa kuwa lengo langu ni kuishauri jamii nahisi maelezo hayo yanakidhi dhamira yangu.

Hapa nafahamika pia japo wewe ni mgeni kwangu.

Ningetaka ushauri ndio ningetumia hata rafiki zangu kueleza lakini kwa vyovyote vile nikiweka maelezo yote itakuwa more than clear kwa wahusika na mimi sitaki kumuona love akiumia zaidi
 
I have been more than silence because of being bussy. ILA LEO PAMOJA NA KUKOSA MUDA NIMEJITAHIDI KUANDIKA ILI NITOE RAI KWA WENGI WANAOKWAMISHA MAHUSIANO NA KUWAKWAZA WALIOPENDANA.

Nawasalimu wote.

LEO NAANDIKA YALIYONIKUTA MWENYEWE KWA KIFUPI SANA NA KWA UMAKINI MKUBWA BILA KUVUKA PRIVACY YA MPENZI WANGU.

Ni safari ndio ilinikutanisha na mrembo mithiri ya malaika, kwa siku chache tu nikiwa nae akawa rafiki angu.

Niliondoka na baada ya miaka kadhaa ya urafiki hatimaye tukaanzisha uhusiano na wote tulikuwa crazy over each other.

Kwa tahadhari mpenzi wangu alinieleza matatizo makubwa yanamsumbua kiafya only because nishakuwa wake na ilikuwa ni tahadhari kwangu kuwa i had to handle her with care na hakuwa tayari tukwaruzane hata siku moja.

Siri haidumu, marafiki wakajua, haikuwa tatizo, siri haidumu kaka akajua, mpenzi wangu akanitoa wasiwasi,

mpenzi akasafiri bila kuniaga japo alinitaarifu atasafiri lakini ikawa ghafla na sikujua, nikaendelea kupiga na kutext bila mafanikio, mpaka nilipopata txt ya kaka yake nimuache mdogo wake. Na akaniambia kasafiri.

Aliporudi mpenzi wangu aliniuliza kilichotokea nikaeleza A-Z, akaniambia anateseka sana kwa sababu ya jambo lile mana limefikia pabaya.

Niliumia sana, kabla hatujamaliza mazungumzo akawa hapatikani tena,

kesho yake nikapata onyo tena toka kwa kaka yake kuwa nimuache mdogo wake vinginevyo mpenzi wangu atakabiliwa na wakati mgumu zaidi.

Nilitafakari ndani ya milliseconds kutokana na hali yake na yanayotokea nikamua niwe mpole niepushe mengi kwake.

LAKINI NIKASEMA HALIKUWA KOSA LANGU WALA LA MPENZI WANGU MAANA BINADAMU KAMA ANA MOYO LAZIMA APENDE UNLESS WAMUONDOLEE MOYO.

Ni wazi kuwa hata asiponipenda mimi atampenda mwingine vinginevyo wamuondolee moyo na si kumkataza asiwe na uhusiano pamoja na ukweli kwamba anahitaji umakini mkubwa kuwa nae na ukweli mwingine ni kwamba yeye pia anahitaji upendo zaidi ya ule wa baba,mama ,kaka ama dada.

RAI YANGU KWA WOTE.
Usimkataze mtoto wako ama ndugu yako kupenda ila mshauri apate mtu sahihi kwa hali yake.

SUGAR I WILL ALWAYS LOVE YOU,I MISS YOU SO MUCH,CALM DOWN. nisingependa nihisi nimebaguliwa ama umebaguliwa kwa jinsi nilivyo na tofauti zetu kubwa.
sijakuelewa point yako ipo wapi hasa!!!
 
Huyu bwana ana lake tu. Sentensi ya kwanza haina kasolo iko poa kabisa.

Pole kwa kuwa busy

thanks, sentensi ya kwanza ilikuwa na makosa, nikairekebisha, bv those are minor cases. Mana hayajaathiri mada.
 
Huyu bwana ana lake tu. Sentensi ya kwanza haina kasolo iko poa kabisa.

Pole kwa kuwa busy

thanks, sentensi ya kwanza ilikuwa na makosa, nikairekebisha, but those are minor cases. Mana hayajaathiri mada.
 
message delivered for a forum just to reshape a community.

Hapa nilipo ninatumia jina langu halisi, wanamijua wapo hapa na kwa kuwa lengo langu ni kuishauri jamii nahisi maelezo hayo yanakidhi dhamira yangu.

Hapa nafahamika pia japo wewe ni mgeni kwangu.

Ningetaka ushauri ndio ningetumia hata rafiki zangu kueleza lakini kwa vyovyote vile nikiweka maelezo yote itakuwa more than clear kwa wahusika na mimi sitaki kumuona love akiumia zaidi

umenena kaka, mimi ni mgeni mitaa hii, huenda ndiyo sababu hatufahamiani.
 
wa kizungu au kiarabu bidada?

hata me hapa acceptable age ila wazazi wakijua nna uhusiano na mtu fulani watazingua tu lazma.....
..kwani na wewe ni shombe? (nawapendaje) au economical status ya *mpenzi wa siri* haisomeki? Au hajaenda vidato? ...manake wazazi nao..mmh!!
 
Mapenzi yanaumiza na yanatesa ngumu kuelewa kama haujapitia,haya mambo ya wazaz kuingilia uhusiano yalinifanya kumpoteza mtu ambae nlimpenda kupita maelezo,miaka kibao imepita lakn sijaona km ule msemo wa time heals..ukifanya yake...lakn km kuna upendo wa kweli kati yenu mtatafuta njia ya kuwasiliana na kuwa pamoja...poleee
 
Mmhh jaman mimi nimeumia kama najua tatizo lilikuwa nin vile daaaa na ninavyopenda story duu by the way poleni sana bt namuonea huruma sana huyo dada japokuwa sijajua anasumbuliwa na nin endelea kumfariji
 
Back
Top Bottom