CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
Junior. Cux u must be ginias!..kumbe ndo mambo yao sio?...
charminglady...kumbe wewe msukuma!??? mhhhhhhhhhhhhhhhhhh:mwaaah:We juniour. Cux, tena shndwa na ulegee, mbona kutuandama sisis wasukuma????????
charminglady kila asubuhi jumatatu ningekuwa nakagua love bites kuona kama kazi za kujenga taifa zilifanyika? au kazi ilikuwa kubanjuka tu? lolest!Una akili sana wewe, yan ungesoma kidogo ungekuwa balozi wa nyumba kumi hapo mtaani kwenu (jokes)
na mijoto ya dar kweli hiyo powder itakaa kwa muda mrefu au ndo kila wakati awe anakwenda washirum kupaka? Ambitious
Junior. Cux u must be ginias!..kumbe ndo mambo yao sio?...
We juniour. Cux, tena shndwa na ulegee, mbona kutuandama sisis wasukuma????????
Dah halafu unaonekana Mrafi sana....
Mi nilijua unapenda kula file fingine kumbe hata msosi wenyewe pia unaula kama kitifaya Lol
:angry::madgrin:opcorn:
Nikutake radhi ndio nini?kheeeee....niombe razi mbele ya hawa VIWERS wote...sa ulitaka nijenge huu mwili kwa cement?...