Mpangamji
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 540
- 140
Nimesikia tetesi kuwa, jamaa mmoja aliyekuwa mchungaji baadae kuacha/kustaafu huko Loriondo amegundua dawa ambayo ni single dose (kikombe kimoja tu) ya kutibu magonjwa yanayosumbua wataalamu wa dunia hii.
Bwana huyo, inasemekana kuwa hatozi gharama zaidi ya Tshs 500 au nusu kilo ya sukari kwa ajili ya matibabu hayo. haijaeleweka ni watu wangapi hadi sasa wametibiwa au kupona, lakini kwa taarifa nilizozipata watu wengi wanaenda huko kutibiwa na wengi wanaendelea vizuri lakini bado hawajaenda kupimwa, kwani inahitajika kupima baada ya siku 90 baada ya kunywa hiyo dawa. wanahabari, mlioko Loriondo tujuzeni
Bwana huyo, inasemekana kuwa hatozi gharama zaidi ya Tshs 500 au nusu kilo ya sukari kwa ajili ya matibabu hayo. haijaeleweka ni watu wangapi hadi sasa wametibiwa au kupona, lakini kwa taarifa nilizozipata watu wengi wanaenda huko kutibiwa na wengi wanaendelea vizuri lakini bado hawajaenda kupimwa, kwani inahitajika kupima baada ya siku 90 baada ya kunywa hiyo dawa. wanahabari, mlioko Loriondo tujuzeni