To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,210
- 65,813
Inahuzunisha sana aiseeNoma Sana.
Mtu analala usiku anaamka salama alafu anakufa
Inahuzunisha sana aiseeNoma Sana.
Mtu analala usiku anaamka salama alafu anakufa
Mwenye lori la mchanga ali overtake sehemu haiistahili kwa mujibu ya awali ya polisi.I suspect it was reckless driving, which is avoidable!
Sympathies to the casualties.
😭shuhuda
I was there , Coaster imebakiza majeruhi wawili tu, ambao pamoja na marehemu wamefikishwa hospitali ya wilaya...Lori pia hakuna alietoka...Inatisha sana iyo ajali, miili mingine imefanywa kuokotwa vipande vipande yaani inatisha kuangalia...Eeeh Allah 🤲
Ni ajali ya jana Jumapili au leo Jumatatu?taarifa ngumu sana asubuhi ya leo, Mwenyezi Mungu ajalie wepesi
Kama ajali yenyewe ni hiyo clip imeambatanishwa,ningeshangaa ndani ya coaster kufa abiria wote.Ajali ilitokea jana imeua watu tisa.
MUNGU atujalie mwisho mwema, AmiiynKweli maisha yetu ni mafupi mno......😭
Kuna taarifa ya ajali barabara ya Msata-Bagamoyo daladala Coaster imegongana na lori imeua watu wote. Tungoje taarifa zaidi.
Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu panapostahili.
View: https://youtu.be/kU4ClnU4epI?si=rH9gWLwo1odNIwH8
AmiinMUNGU atujalie mwisho mwema, Amiiyn
Kuna taarifa ya ajali barabara ya Msata-Bagamoyo daladala Coaster imegongana na lori imeua watu wote. Tungoje taarifa zaidi.
Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu panapostahili.
View: https://youtu.be/kU4ClnU4epI?si=rH9gWLwo1odNIwH8
Barabara ya bagamoyo ni nzuri sana na pana. Ilishatengenezwa past 5 years wa wapi wewe.Barabara zetu mbovu sana,pia kodi kubwa inasabibisha watu wanunue magari mabovu,ni wakati sasa serikali iangalie kuboresha na kupanua barabara,pia kuondoa kodi kwa magari mapya,tunapoteza maisha ya watu wengi sana barabarani
Acha upumbavu huu,picha za nini?waliopoteza maisha hapa ni binadamu wenzetu sio nyumbuBila picha ni uzishi
Unataka uone Picha za Maiti hapa Mkuu?Bila picha ni uzishi
Na hiyo ndiyo sababu kuu ya ajali nyingi zinazotokea kwa nchi yetu.I suspect it was reckless driving, which is avoidable!
Sympathies to the casualties.
Yes almost 90%ya hizi fatal accidents ni human errorI suspect it was reckless driving, which is avoidable!
Sympathies to the casualties.