Assalaam Alleikhum wana JF,
Nakuombeni, yeyote anayejua chuo chochote na kutoka popote, kinachotambulika hapa TZ na kinatoa diploma au/na degree za sheria kwa njia ya correspondence/distance.
ahsanteni,
Edylux
University of London ni chuo bora duniani kina program hiyo.open university ya UK nao wanayo na ninaye jamaa anafanya L.L.B yupo hapa Tz.university of Leicester pitia website zao ni vyuo vikubwa duniani.
au nitumie email yako kwenye pm.
Pole ndugu. LL.B ni academic ya darasani, hakuna mkato, ila vipo vile vyuo visivyotambulika unapata degree yoyote hata hiyo LL.B tatizo hauta practize law popote.
Assalaam Alleikhum wana JF,
Nakuombeni, yeyote anayejua chuo chochote na kutoka popote, kinachotambulika hapa TZ na kinatoa diploma au/na degree za sheria kwa njia ya correspondence/distance.
ahsanteni,
Edylux
Pasco, ukiangalia sheria/kanuni ya kukufanya uweze kupractice ni lazima huwe na degree ya sheria kutoka katika chuo kinachotambulika.
Kwako muulizaji, Jitahidi usome kwenye 'conventional mode' yani kwa kuudhuria darasani. Natumaini kuna vyuo hapo dar es salaam vinatoa masomo ya sheria jioni.
Vipi kama Chuo kinachotambulika kinatoa distance learning?
Kuna hii dhana potofu ya kwamba ukifanya distance learning inakuwa inferior.
Unaweza kufanya distance learning katika chuo kizuri ikawa na program nzuri kuliko elimu ya darasani ya chuo cha kawaida.