Mkuu YY,
Jamaa (Liyumba na Deogratias Kweka) wanapandishwa kizimbani dhidi ya kashfa ya Twin Tower.
Nipo hapahapa Kisutu, nitawafahamisha kinachoendelea
Mkuu salute, keep flowing...
Tunasubiri hizo charges za hawa jamaa
BTW: Hapa nilipo najifanya mzee wa breaking newz na info muhimu, kumbe nachungulia jf!