Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,036
nani kakwambia hr manager na project manager wanaweza kuchukua $200m za benki kuu peke yao, uongo uliokubuu...
Nakubaliana na wewe,HAIWEZEKANI!it might be A SET-UP.wataipiga danadana weeeeeeeeee mpaka tutasahau mdogo mdogo
angalia sasa ulipoanza KULIKOROGA........
.....kwa hiyo hela ALICHUKUA,AU HAKUCHUKUA?au yeye alichukua kidogo za kutumia na dada zako?na hizo zingine ZIMEENDA WAPI?jaribu kujustfy hata kwa suspuscious theories!pesa ya EPA walau watu 'wanahisi' ilikwenda wapi,na wewe tuambie sasa!......isitoshe liyumba ametumia hizo hela na madada zetu...
....................sasa angalia unavyomalizia post yako.......
siwezi kuamini hata siku moja liyumba na kweka wamechukua $200m, nina imani kabisa zaidi ya $150m zimechukuliwa na serikali(ccm)
ANYWAYS,TWENDE TU HIVYO HIVYO!tutafanyeje