Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa,

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea.
Duh...!. Nimemsikia akiongea na kumtaja mtu kwa jina kwa kumtuhumu bila ushahidi!, ukihoji intellect ya baadhi ya viongozi wetu, unaweza kuonekana huna nidhamu!.

Kiukweli Kibajaji ambae ni darasa la Saba, ana afadhali sana!.
P
 
Umenena, ana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo. Tulikuwa nae huku Kawe akiwa Chadema, akiongea unapenda tu kumsikiliza. Ila angepiga vidato na chuo, angeshangaza sana. Niligindua kusoma bila kipaji cha uongozi hutoboi. Kipaji + elimu= ufanisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Ilinipita hii

Good job pascal
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Kibajaji naeni kichwa 😂😂😂kazi ipo
 
Kibajaji naeni kichwa 😂😂😂kazi ipo
Yes Kibajaji ni kichwa sana, na hata Musukuma, kwa kuzingatia huyu ni darasa la 7, lakini anashusha nondo za maana sana compared na wasomi wenye macheti makubwa ila when it comes to kwenye kushusha nondo, they are just empty shells!.
P
 
Yes Kibajaji ni kichwa sana, na hata Musukuma, kwa kuzingatia huyu ni darasa la 7, lakini anashusha nondo za maana sana compared na wasomi wenye macheti makubwa ila when it comes to kwenye kushusha nondo, they are just empty shells!.
P
Tatizo sio kuwa wasomi wetu hawana IQ kubwa..bali wanaendekeza njaa inayosababisha wawe watu wa kujipendekeza. Mimi kwa siasa za kibajaji za matusi na uhuni hanivutii na wala siwezi kumchukulia kuwa ana IQ kubwa. Labda niseme ana bahati
 
Huyu mtu ana akili nyingi sana na ni mzalendo wa dhati mwenye maono mazito juu ya nchi yake. Ni nadra sana kuwa na watu wa aina hii. Tatizo letu watanzania ni kushindwa kuwatumia vizuri watu wa aina hii kwa maendeleo ya taifa letu.

Tangia awe mbunge zaidi ya miaka 10 mfululizo, michango yake bungeni mara zote huwa zilizoshiba na akianza kuchangia bunge zima na nchi nzima husisimuka.

Angalia leo mchango wake wa namna ya kukabiliana na athari za madhara yatokanayo na majanga kama ya vita ya Russia vs Ukraine, Covid 19 na mengineyo:


Naunga mkono hoja, kiukweli kabisa huyu ni genius fulani basi tuu!.
P
 
Elimu ni muhimu sana katika maisha ya binadamu ila sio chanzo pekee cha mafanikio,,
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
 
Wanabodi,
Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Ni mtu mjinga tu ndio atakubaliana na Kibajaj kwamba Ripoti ya CAG isijadiliwe bungeni hadi mwakani

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa na Ripoti itachambuliwa na Bunge la Wananchi huku mtaani na hakuna Waziri atavumilia lazima wataanza kujibu na haijalishi watajibia wapi lakini hata ikiwa ni Kanisani au Msikitini majibu ni majibu

Huyu Kibajaj aache Siasa za kukariri taarifa ziko kiganjani dunia ya leo

Nimempuuza sana yule agwe!
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , karibu na mitaa hii huyu ni shujaa wangu.
P.
 
Wanabodi,
Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Paskali
Hii ni sarcasm tu...hakuna genius hapo.
Karibu!.
P
 
Back
Top Bottom