Bro umerudi nafurahi kukuona juzi nilitaka kukuulizia ulikuwa kwenye fikra mpaka nikazani umefikwa na jambo? natumai ulikuwa salama lakini. karibu tena Wacha1Hongereni wakuu kwa ushindi mnono. .... ..... .... ..
wote ni wazuri, but i will give it to Gini...After Who is the No 1 between Simon and Karius! Now another sensitive issue who is Midfielder between Gini and Can?
For me, My First Choice is Can Huyu Jama Sasahivi Namkubali Kweli! Baada Ya Kutoka injury Niliwahi Kumsikia Akisema Atazidisha Kukaza Msuli Kwa Nguvu Zote zile ili Kuhakikisha Anapata Namba Ya Kudumu First XI, na Nahisi Anasadikisha Maneno Yake Kwani ushindi wetu dhidi ya WBA jamaa alihusika Na Magoli yote 2....
Hata Gini Katika Kuanza ligi Hakuwa Vizuri lakini Kadri Anapocheza Kila Mechi Ndiyo Akaanza Kuhit...
Sasa na Can iwapo ataendelea Kupewa Nafasi Ya Kucheza basi Atazidi Kuinesha Mambo Makubwa Zaidi Kwani Ni Young Player na Mwenye Kujituma...
Aaaah kitambo kweli mkuu sijakuona. Hata kule home kwenu sikuoni. Juzi nilikuita uje kuangusha kicheko chako kule "hatushikiki" hukuja. Btw salama lakini?Hongereni wakuu kwa ushindi mnono. .... ..... .... ..
Hongereni watani kwa ushindi kiukweli naona kikosi chenu kinapanuka na kasi ipo ila nadhani Danny bado hajawa makini sana ana waangusha kimtindo.Game ilikuwa nzuri sana
Vijana wamecheza vyema sana
Vorm ni kipa mzuri zaidi hata ya Lloris
Angekuwa Lloris jana tungeshinda bao 5
my wish Utd ashinde tukutane tenaaaaa nina uchu nao Teh.! Teh.! Teh.! Teh !
where is Ojo
ahsante mkuu.Aliumia muda tu akatakiwa awe nje miezi 2 kama siyo mwezi 1 na nusu nadhani tutamuona round ya pili
Still a young kid. He is a promising player.A good player...ana tatizo la kuchelewa kufanya maamuzi. But ni kitu ambacho kinarekebishika, because he is still young
Still a young kid. He is a promising player.