yaani hata hili unasubiri mbunge aseme.....simba kocha ni mbaya afadhali hata wa yanga aliefukuzwa bahati nzuri simba usajiri wake ni mzuri na tunafanya vizuri...Wakuuu
Nyepesi nyepesi ni kuwa Mh Mbunge anadai, kocha si mzuri lazima na wao watafute mzungu ha ha ha ha, maaana Yanga alipochukua Mganda na wao wakaenda kutafuta Mganda, Yanga wamefukuza Mganda na wao wanaaza songombigo wamtimue walete Msebia pia ha ha ha
Tangu mwanzo tunakosasa tu sitegemei kama tutasahihisha makosa yetu kwa dakika hizi chache...bado dakika 2
yaani hata hili unasubiri mbunge aseme.....simba kocha ni mbaya afadhali hata wa yanga aliefukuzwa bahati nzuri simba usajiri wake ni mzuri na tunafanya vizuri...
yaani hata hili unasubiri mbunge aseme.....simba kocha ni mbaya afadhali hata wa yanga aliefukuzwa bahati nzuri simba usajiri wake ni mzuri na tunafanya vizuri...
Jamani matokeo wapi simba yanga
Jamani matokeo wapi simba yanga
Mpira umekwisha hongera yanga.............
Mpira umekwisha hongera yanga.............
Imekula kwetu....