Wakuuu
Nyepesi nyepesi ni kuwa Mh Mbunge anadai, kocha si mzuri lazima na wao watafute mzungu ha ha ha ha, maaana Yanga alipochukua Mganda na wao wakaenda kutafuta Mganda, Yanga wamefukuza Mganda na wao wanaaza songombigo wamtimue walete Msebia pia ha ha ha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.