Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wanabodi,
Nipo kwenye kikao cha baraza la madiwani,ni kikao kilichovunjika baada ya madiwani wa CCM kususa.
Baada ya madiwani kufika diwani wa CHADEMA Nanyaro ametoa hoja kuwa kanuni ifuatwe,kwa kuwataka wajumbe wachague mwenyekiti wa muda,na kumteua Diwani mwenzake wa CHADEMA Bwana Msofe awe mwenyekiti wa muda wa kikao.
Leo hata mh Lema yupo kwenye kikao kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe,madiwani wa CCM wamekaa kwa huzuni.
Nipo kwenye kikao cha baraza la madiwani,ni kikao kilichovunjika baada ya madiwani wa CCM kususa.
Baada ya madiwani kufika diwani wa CHADEMA Nanyaro ametoa hoja kuwa kanuni ifuatwe,kwa kuwataka wajumbe wachague mwenyekiti wa muda,na kumteua Diwani mwenzake wa CHADEMA Bwana Msofe awe mwenyekiti wa muda wa kikao.
Leo hata mh Lema yupo kwenye kikao kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe,madiwani wa CCM wamekaa kwa huzuni.