FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
mama kikiwete anacheza utafikiri yupo kwenye mipasho....kwa kujirusha!!
philemon unataka mwenzio asifurahi
mama kikiwete anacheza utafikiri yupo kwenye mipasho....kwa kujirusha!!
jk amekamata maji anapiga mafundo kudu kudu...nadhani anatafuta energy ya kuongea baada ya wimbo huu...
philemon unataka mwenzio asifurahi
Jamani achaneni na habari hizo za Butiama, mimi nina hasira hadi ninataka kupiga watoto wangu wanapofosi waendelee kuangalia hayo matumizi ya hela za serikali bila tija!...Mitumbo yao mikubwa mipana, kama magunia, na hawaoni aibu jinsi walivyo tofauti na wananchi wa kawaida...puuuuuhh!. Wananiboa mimi bana! Mikalio ndo usiseme.. Ukianzisha mada ya kujenga chuo kikuu hapo Butiama wataanza kuinamisha sura kama vile wanashikisha mtu ukuta!...sIWAPENDI HAO WANGEJUA...!
Kama za Mkapa?kutoa hotuba fupi na straight to the point amalize akae...
Kama za Mkapa?
ANAOngelea mauwaji ya rwanda na kusema pamoja na kuwa kote ni wakatoliki waliuwana kwa ajili ya ukabila na hadi mapadri walishiriki....mauwaji....anasema huu ni mfano wa namna umoja unavoweza kuvunjika!!
amefikia mwisho wa hotuba yake ya dakika 25..[nadhani ni kati hotuba zake fupi,anafuata ushauri wa madaktari sasa].....anawashukuru walioandaa hafla hii...anamkariri mwanamapinduzi wa guinue bissau aliposema kwenye mazishi ya kwame nkrumah" msilie bali furahini mnapomzika mwanamapinduzi..".. anasema tusheherekee maisha ya mwalimu[...celebrating his life..]....
amemaliza hotuba na ametoa ruhusa mwenge uzimwe....anakaaa!!!
hii kwa sandards za jk ni hotuba fupi .
amefikia mwisho wa hotuba yake ya dakika 25..[nadhani ni kati hotuba zake fupi,anafuata ushauri wa madaktari sasa].....anawashukuru walioandaa hafla hii...anamkariri mwanamapinduzi wa guinue bissau aliposema kwenye mazishi ya kwame nkrumah" msilie bali furahini mnapomzika mwanamapinduzi..".. anasema tusheherekee maisha ya mwalimu[...celebrating his life..]....
amemaliza hotuba na ametoa ruhusa mwenge uzimwe....anakaaa!!!
hii kwa sandards za jk ni hotuba fupi .