Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Wakubwa!
zifuatazo ni ajenda
zifuatazo ni ajenda
- Kufungua kikao-Wazazi wa bwana harusi(Mamdenyi)
- Kuchagua M/kiti na wenyeviti wa kamati ya ndogondogo-Junior. Cux
- Kutoa ahadi za michango-wajumbe wote wakiongozwa na wazazi bw/harusi
- Kupata chakula na vinywaji-sweetlady, Chamirminggirl, Kongosho, Jugement, Kijino, Erick52
- Kufunga kikao-Mwenyekiti