Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #21
jamani wanakamati! Kuna taarifa imetufikia hivi punde,eee nasikia kunawatu wamepandikizwa,kuja kuvuruga mipango ya harusi.Sasa basi kwakua kitu kizur kinapatikana kwa mbinde na vikwazo vya kila aina,natoa tamko nyinyi endeleeni na kikao ulinzi upo wa kutosha kamanda kova hatakua pekee yake nimeagiza Jesh la NATO mda si mrefu wataingia hapa.Junior .Cux,endelea na kikao.msihofu