Aisee,hii kitu mimi sielewi.Zanzibar walifanya hivi na wakapata katiba yao.Leo hii Tanzania tunafanya na kuna wawakilishi kutoka Zanzibar.Mimi nilidhani hapa tunachanganyana.Zanzibar wamefanya wenyewe.Tanzania tunafanya wote,Why?.Kuna haja ya kuwa na Serikali 3 au serikali Moja hapa...
Naona vikundi vikundi vya watu kajidalidiana mambo mbali mbali,Nacho kishangaa katika vikundi hivi,naona kuna dalili za itikadi za Kidini.Nawatambua kwa Mavazi walio vaa nikimaanisha Waislam.Sijui wanajipanga kwa lipi.Nawakilisha.