Soma vizuri, "toka" 12 alfajiri. Mbona hilo neno "toka" umeliruka?
@Ribosome, naamini serengeti zitakuwa zimekutoka asubuhi hii. Mdau wako kaandika hivi: tayari zaidi ya watu 10,000 wameshaanza kusogea katika eneo la tukio asubuhii na hapa anaongelea saa 12 wakati maandalizi bado yanaendelea.
punguza ulabu!