Waziri wa fedha william mgimwa yupo bungeni dodoma akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014.hotuba yake inaonyeshwa live TBC1.
Kwa hiyo ile ya Wizara ya Elimu imepita kilaini hivyo?
Amesema kuwa pato la taifa limeongezeka na kufikia asilimia 6.8 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.4 kwa mwaka wa fedha uliopita wa 2011/2012
Kiaina ndo nini acha maneno yako ya kihuni humu.Kwa hiyo ile ya Wizara ya Elimu imepita kilaini hivyo?
Waziri wa fedha william mgimwa yupo bungeni dodoma akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014.hotuba yake inaonyeshwa live TBC1.
Waziri wa fedha william mgimwa yupo bungeni dodoma akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014.hotuba yake inaonyeshwa live TBC1.
Pamoja mkuu. Kila kitu kitawekwa humu
Mkuu, kwani kuna wizara imebaki?Jamani ufafanuzi anayo wasilisha ni Bajeti ya Wizara ya Fedha ama Bajeti ya Serikali kwa Fy 2013/2014?.maana hivyo ni vitu viwili tofauti.bajeti ya serikali inakuwa ya Mwisho kabisa baada ya wizara Zote kupitishwa!