Utakapompelekea maana unaweza kuwa wakala wake muulize na Kagoda ni yake?Halafu majina yake kamili ni yale aliyoandikisha kwenye Kampuni zake au Jina la Bungeni?JF ni huru kujadili kama inasemwa uongo kanusha kwa kutoa ukweli ili ijadiliwa,acha kutaka kuziba uhuru wa wa JF kama thread inakukera usiisome,soma zinazokukuna wewe,huwezi kunihukumu kwa kukushauri.Njia rahisi na yenye maslahi kwa nchi na kizalendo ni mahakamani kama una ushahidi zaidi ya hapo umeingia mkenge labda uanze kutafutwa wewe kwa kupotosha ummah
unajua kwamba mtu anaweza kuushitaki mtandao wa jamii mahakama ikaamuru mawasiliano yako na taarifa zako zingine zitolewe kwa maslahi ya nchi ?? Unajua kwamba hilo linawezekana ?
Ndio utajua kwanini hizi chat huwa zina printiwa na kupelekwa kwa wenyewe wazisome