The Conquerer
Member
- Aug 16, 2012
- 79
- 94
Wana JF, baada ya kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitano vya bunge, magwiji wa siasa wa CHADEMA ambao ni mwiba kwa serikali ya CCM wameamua kutumia muda wa siku hizo tano kupeleka ujumbe kwa wananchi jinsi CCM na serikali yake wanavyoendesha nchi kibabe na kibaguzi ili wananchi waamue haki ifikapo 2015.
Ratiba:
Jumapili 21/04/2013 watatikisa Mwanza
jumanne 23/04/2013 watarindima Iringa
jumatano 24/04/2013 watatema cheche Mbeya
wana Mwanza, Iringa na Mbeya kaeni mkao wa kula.
Ratiba ya maeneo mengine nitawaletea mara tu ikinifikia.
Pichani ni moja ya mikutano mikubwa ambayo walihutubia siku za nyuma.
Ratiba:
Jumapili 21/04/2013 watatikisa Mwanza
jumanne 23/04/2013 watarindima Iringa
jumatano 24/04/2013 watatema cheche Mbeya
wana Mwanza, Iringa na Mbeya kaeni mkao wa kula.
Ratiba ya maeneo mengine nitawaletea mara tu ikinifikia.
Pichani ni moja ya mikutano mikubwa ambayo walihutubia siku za nyuma.