Wewe ziriwani huna akili hata kidogo, wewe ni fisadi na mdini kama baba yako...ingekuwa wabunge wa chadema wanapata ubunge kwa rushwa ndio ungesema hivyo kuwa hawataingia mjengoni 2015.na wewe unafikiri utashinda ubunge wa chalinze 2015 au 2020? Hilo sahau....ingekuwa mimi ni wewe ninge elekeza nguvu kwenye biashara maana siasa baba yako ameshaharibu hakuna atakaye kupigia kura maana mtoto wa nyoka ni nyoka.shame on uUkisikia hawa wanatajwa unawashwa kweli mdogo wangu,,,,siasa sio kazi kama ambavyo vilaza kama lukuvi na wassira na mzee wa msoga wanavofanya