Lissu usimjibu Albert Msando, mimi Namjibu

Ndio shida ya wanaotetea kila kitu katika mfumo: Kupindisha ukweli. Haya ngoja tukusaidie. Dk Kitila Mkumbo hakuwa mjumbe wa Kamati Kuu kwa kuteuliwa. Yeye alichaguliwa na Baraza Kuu katika kundi la wanaume bara, pamoja na Marehemu Shelembi na Profesa Baregu. Aliongoza kwa kura Profesa Baregu akafuatia Dk Mkumbo.

Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti mpaka sasa hivi ni wanne tu: Chiku Abwao, Marando, Safari na Mbogolo. Mwenyekiti amebakisha wawili. Hao ndio pekee wanaoweza kuvuliwa ujumbe wao na KK.

Ni uungwana kukiri kosa kwamba Mwanasheria wetu Mkuu alichemsha kuwashauri wajumbe wa KK wawafukuze hawa wandugu. Ingekuwa busara kuwaruhusu wajiuzulu kama walivyoomba. Lakini kwa sababu chuki ilitawala wakafanya maamuzi kwa ubabe na jazba. Matokeo yake wamevunja Katiba. La pili alilosema Msando ni kwamba kwa mujibu wa katibu ya CHADEMA huwezi kumhukumu mtu bila (i) kumpa tuhuma zake kwa maandishi (ii) mtuhumiwa ajibu tuhuma kwa maandishi. Yote haya hayakufanyika kwa sababu maamuzi yalifanywa nje ya vikao na KK ilitumika tu kuhalalisha.

Hili wala sio Msando tu. Hata Marando alijaribu kushauri ndani ya KK lakini wapi bwana kwa sababu ndani ya CDM mwanasheria pekee anayeheshimika ni TL.

Hapa makao makuu hali si shwari. Baada ya mkutano wa akina ZZK jana mambo ni magumu. Wakurugenzi wapo baridi sana, hasa Mrema na Kigaila. Wengine wanacheka, wakisema kwamba tuliwaambia huyu TL msimwamini ataua chama. Haya mambo ndiyo hayo sijui huko mbele kuna nini...

Kwa nini kinatangulia barua ya kufukuzwa au kikao kilichomfukuza?
 
msiwe wepesi wa hoja kiasi hicho,mtu akikugusa panapouma, ngao yako inakuwa kwenye maisha yake binafsi!The issue is whether he is right or wrong on this prob!
Mkuu umenena vyema. Tujikite kwenye hoja ya msingi tuache kumjadili Msando binafsi. Hicho kifungu alichonukuu mleta hoja hakimvui ZZK wadhifa wa Naibu Katibu Mkuu. Kama kipo kifungu husika kiletwe hapa. Katiba iheshimiwe.
 
Mwakalinga, sio kwamba tulipishana. Nilivyosema ni kwamba mpaka sasa wakina Zitto hawajapewa barua zao ili waweze kujibu. Kitila yeye alisema ingawaje hawajapewa barua lakini wanayaheshimu maamuzi hayo.

Sasa chukulia mfano huu. Mshtakiwa ameshtakiwa kunyongwa yeye kakubali adhabu lakini adhabu hiyo imetolewa kimakosa. Haiwezi kusemekana ni sahihi kwa sababu tu mshtakiwa ameikubali.

Fahamu kwamba kama ushahidi upo na utaratibu ukifuatwa haya yote hayatakuwepo. Ndicho chama tunachokijenga. Ni kosa mimi kuhoji kuhusu kukiukwa utaratibu? Chadema sio TANU.

Wewe kujoji sio kosa ila kwenye hili sakata nilitarajia makubwa kutoka kwako zaidi ya haya malumbano. Naweza kusema inawezekana wewe unamfahamu Zitto na mitazamo yake zaidi ya mtu mwingine yoyote, so nilitegemea unge-play sehemu nyeti kuliko kuwa upande mmoja.

Urafiki wako na Mh. Mboye ungeutumia pia kuona nini tatizo ukiunganisha na haya ya Zitto, wote ni wanamapinduzi wenye lengo moja hata kama njia ni tofauti, ipo haja ya haya mambo kumalizwa kwa njia ya mazungumzo zaidi ya kuonyeshana umwamba kwenye vyombo vya habari.

Haiwezekani watu wa kambi moja warushiane maneno kwenye vyombo vya habari halafu tutafsiri kuwa mambo ni shwari. Uwezo wako wamenye tunaujua hata kama nitakudhihaki but pleaz utumie uwezo wako kwa faidi ya wengi si kwa kundi fulani , historia itakuhukumu kwa hilo.

I still count on you , i apology for acting irrational to a friend.
 
Naomba kuweka kumbukumbu sawa, Dk Kitila Mkumbo ni mjumbe wa kamati kuu wa kuchaguliwa si wa kuteuliwa kama ilivyoainishwa. mjadala uendelee
 
Mwakalinga, sio kwamba tulipishana. Nilivyosema ni kwamba mpaka sasa wakina Zitto hawajapewa barua zao ili waweze kujibu. Kitila yeye alisema ingawaje hawajapewa barua lakini wanayaheshimu maamuzi hayo.

Sasa chukulia mfano huu. Mshtakiwa ameshtakiwa kunyongwa yeye kakubali adhabu lakini adhabu hiyo imetolewa kimakosa. Haiwezi kusemekana ni sahihi kwa sababu tu mshtakiwa ameikubali.

Fahamu kwamba kama ushahidi upo na utaratibu ukifuatwa haya yote hayatakuwepo. Ndicho chama tunachokijenga. Ni kosa mimi kuhoji kuhusu kukiukwa utaratibu? Chadema sio TANU.

Bwana wakili kwahiyo unakiri kwamba wakina Zitto wanamakosa na hivyo walistahili kuadhibiwa ila tu utaratibu haukufuatwa? Msando kama hii ingekuwa ni kesi ipo mahakamani na wewe ndio wakili unayewatetea akina Zitto, hakika ungeshindwa severely. Kubali yaishee, wateja wako hawasafishiki kwa makosa yao.
Tuliza jazba, weka urafiki pembeni, tafakari kwa nini mara kwa mara Zitto anashutumiwa kwa tuhuma nyingi?(Nyingine ameziorodhesha kwenye press conf .)
Kumbuka maneno ya wahenga: lisemwalo lipo kama halipo....
 
CHADEMA mhimili,CHADEMA fikra pevu na CHADEMA mabaunsa ya Lema. Huyu diwani tofari liko mbali?
 
Kweli ng'ombe si majani yote anaweza Kula, mpapai waweza kumtoa uhai......Albert Msando amejimaliza mwenyewe kwa kukumbatia magaidi wa chadema,naye ni gaidi tu...
 
Ndugu,

Ameweka kifungu cha 'KAZI' za Kamati Kuu. Hajasema ni wapi nimesema Kamati Kuu haina mamlaka.

Swali langu ni rahisi sana, JE UTARATIBU wa kumvua mtu nafasi za uongozi unasemaje? Katiba ya Chama ina vipengele vinavyotoa utaratibu gani ufuatwe pale Kamati Kuu inapotekeleza wajibu wake.

Hayo mengine ya ujanja, sifa, utoto nk sio yangu kujibu. Sitajishughulisha nayo.

Albert.
Halafu we Msando we unatuchukulia poa sana eeeh!!! Viajana mtaani tunahasira sana na huyo Mharibifu wako (zitto) na kitila....tena narudia kwa mara nyingine tena usicheze na maisha yetu vijana unanisikia lakini....kama mnaona CDM haimeet matakwa yenu ya vyeo yasivyo na subira yalojaa ubinafsi tokeni mkaanzishe chama muwashawishi watanzania sio kutuharibia chama kilichobeba matumaini yetu...halafu huku mtaani ninyi(zitto, kitila, msando, mwigamba na Arfi ) mnatuchukulia poa sana eti eeeeeeeeh!...haya endelezeni usariti wenu kwa umma ila nguvu ya umma mnaielewa
 
Hongera cdm kwa maamuzi mazuri,kifungu (v) kimetendewa haki ila (t) naomba msiifanyie kazi badala yake muwaonye waendelee kujifunza.
 
Wala si watuhumiwa hao waraka huo hauna tatizo loloooote ila kwa wale wanaoamini kuwa Chama ni Mali yao kama Bilcans ama wana Share Halali kama CCBRT wanaona ni mwiba.Kama hujui nakufundisha kuwa CHAMA CHOCHOTE HAPA DUNIANI NI MALI YA WANACHAMA NA NDO WENYE KUAMUA NANI AWAONGOZE NA WANAOTAKA UONGOZI HUSHINDANA KWA HOJA MBELE YA WENYE CHAMA (Wanachama) Hoja hizo ni pamoja na Nyaraka kama hizo....Ndo maana mtu anakili wazi kuwa ni mimi nimeandika/hariri. maana humo hukuti sentensi inayoashiria uvunjifu wa amani. Kama yapo KIHEREHERE MKUU WA CDM (T.LISO) ANGEKIMBILIA MAHAKAMANI .

waraka wa kitila mkumbo na mpango wake na zitto mahakamani wanafungwa kifungo cha maisha kiujumla ni wahaini mtu unakubali kubomoa chama kutengeneza structure ndani ya structure halafu unadhani uko smart hiyo ni distortion ya system ya kiuawala ya taasis hao ni wakufukuza kabisa halaf warudishwe na mahakama waone kama watapata hata pa kupitia wazomewe kila mahali wapuuzi wakubwa kudhani eti wana akili kuliko mtu mwingine yeyete chadema foolish boys
 
Wajibu nini sasa hayo yalotamkwa kea waandishi na TL ama hiyo kamati itamuandikia kila mtu hoja za kujibu!? Majibu ya hawa jamaa kupitia Media yanatoa ama kuelekeza nini kamati iandike kwa kila mmoja. Na umakini unahitajika maana yasijekuwarudi wao
ZZK
"Naipenda CDM imenilea na nitatoka VDM kwa hiari nikiwa wa Mwisho"
means baada ys wengine.
Hapo mjue wenye akili wanajua nini wanafanya na matokea kama haya ya.madikteta kukatalia viti yoote waliyajua kabla. Si kila mtu anafikra kama zako!!! watu wanachemsha bongo zao ili nao wasifanye kama waliotangulia ambao hawakusimamiwa.
 
Nadhani
kunatatizo kubwa sana hapa Tz kwamba watu hawajiamini, hivi kama kweli
watu kama Zito wanajiamini kwanini wasiondoke na kuanzisha chama nahapo
ndo utaamini kinachomsumbua Zito ni umamlu ambao ulikua ukimnufaisha
yeye na familia yake huku akizidi kukiua chama ushauli wangu kwa CDM
Nibola Zito na wenzake wafukuzwe chama kiteteleke ila kitarudi kwenye
mstali ila kukiwa na uoga dhidi ya wahaini hawa hakika nawaambieni
kitasambalatika 2015.
 
Back
Top Bottom