Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Tundu Lissu ameyasema hayo akizungumza muda na huu tar 9/22023 na Waandishi wa Habari Bariadi, akisema wakulima kila mahali wanalalamika hawapati faida kama awali na hili linasababishwa na watu wanaoamua pamba inunuliwe na nani na kwa bei gani ambao wengi ni Wanaccm.
Akisema Bodi ya Pamba ndio inapanga bei ya pamba, lakini;
- Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba ni Christopher Mwita Gachuma ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba nchini.
- Bariadi mnunuzi mkubwa wa pamba katika mkoa wa Simiyu ni Bwana Njau (Mbunge wa jimbo la Itilima kwa tiketi ya CCM) na ndugu yake Gungu (Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM).
- Mwandoya Jimbo la Kisesa utaambiwa kuna mtu anaitwa Gaki lakini ukiuliza kila mtu eneo hilo anayefahamu atakwambia hiyo Jineri inaendeshwa na ndugu wa Luhaga Mpina Mbunge wa Jimbo Kisesa CCM.
- Maswa Mashariki - Mbunge Nyongo ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba eneo hilo.
- Wilaya ya Kishapu, Jineri inamilikiwa na Cherehani, Mbunge jimbo la Ushetu ambaye ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba eneo hilo.
- Ushetu kwenyewe kuna mgogoro mkubwa kwenye zao la Pamba na Tumbaku, ambako wananchi wamesema mnunuzi mkubwa wa pamba katika jimbo la Ushetu ni kampuni ya Mkwawa ambayo nyuma yake viongozi wengi wa CCM akiwepo Hussein Bashe.
Akisema Bodi ya Pamba ndio inapanga bei ya pamba, lakini;
- Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba ni Christopher Mwita Gachuma ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba nchini.
- Bariadi mnunuzi mkubwa wa pamba katika mkoa wa Simiyu ni Bwana Njau (Mbunge wa jimbo la Itilima kwa tiketi ya CCM) na ndugu yake Gungu (Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM).
- Mwandoya Jimbo la Kisesa utaambiwa kuna mtu anaitwa Gaki lakini ukiuliza kila mtu eneo hilo anayefahamu atakwambia hiyo Jineri inaendeshwa na ndugu wa Luhaga Mpina Mbunge wa Jimbo Kisesa CCM.
- Maswa Mashariki - Mbunge Nyongo ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba eneo hilo.
- Wilaya ya Kishapu, Jineri inamilikiwa na Cherehani, Mbunge jimbo la Ushetu ambaye ndiye mnunuzi mkubwa wa pamba eneo hilo.
- Ushetu kwenyewe kuna mgogoro mkubwa kwenye zao la Pamba na Tumbaku, ambako wananchi wamesema mnunuzi mkubwa wa pamba katika jimbo la Ushetu ni kampuni ya Mkwawa ambayo nyuma yake viongozi wengi wa CCM akiwepo Hussein Bashe.