Lishe bora na matunzo ya mama mjamzito

mzizimkavu
Mk e wangu ni mjamzito na anapresha ya kushuka.sasa alishauriwaga atumie kahawa anapoona dalili.he kwa sasa unatushaurije maana kahawa imesemwa haifai kwa mjamzito.nisaidie kwa ilo tafadhari
 
Wapendwa mnisaidie kuhusu ulaji wa pilipili wakati wa ujauzito hasa mimba changa.
 
Vyakula vyote vyenye wanga protein na nutrients mbalimbali

Kama samaki asiye na mekyuri nyama mayai mazIwa ugali haswa dona mbogamboga matunda maboga etc etc
 
Jamani naombeni kujuzwa, hakuna madhara yoyote kwa mama mjamzito na kijacho kwa kutafuna vitunguu swaumu vibichi?

Maana anataka kufukuza mafua yanayotaka kumnyemelea.
 
Samahani nauliza nini kifanyike ikiwa mama mjamzito amekula samaki wenye zebaki ili mtoto asidhurike??
 
1. Mimi naona nianzie kwenye aina za vyakula vya kuepuka kula wakati wa ujauzito:-

Epuka vyakula vifuatavyo:-
  • samaki wakubwa wa baharini (Marlin, Orange roughy, Tilefish, Swordfish, Shark, Mackerel (king fish), Tuna, n.k). Aina hizi za samaki zina madini mengi ya mercury ambayo yanaweza kumdhuru mtoto).
  • maziwa yasiochemshwa, au maziwa yasiochemshwa vizuri.
  • nyama mbichi, au nyama ambayo haijapikwa na kuiva vizuri, mayai mabichi, au mayai ambayo hayajaiva vizuri.
  • vinywaji vyenye alcohol, au caffeine.

2. Vyakula muhimu vya kula wakati wa ujauzito:-

Kula vyakula vifuatavyo:-
  • Carbohydrates – Organic fruits, vegetables, beans and whole-grain breads and pastas. In terms of fruits and vegetables, aim to have a serving at each and every meal or snack. Remember, the more colorful (e.g. blueberries, broccoli, sweet potatoes, etc.), the better.
  • fish (cold-water fish)-like tilapia, cat fish, etc. These kind of fish have very low levels of mercury.
  • Proteins – Cooked egg whites, chicken, turkey, soy, protein powder, low-fat dairy products and lean beef.
  • Fat – Eat as much “good fat” as possible to support proper brain and nervous system development. Optimal choices include nuts, seeds, avocadoes, olive oil, flaxseed oil, fish oils, cold-water fish and omega-3 eggs.
  • Fruits.

http://truestarhealth.com/members/cm_archives12ML3P1A139.html
Mkuu ungeandika kwa kiswahili kwa faida wote hapa wamekuelewa wachache umenifanya nirudie rudie kusoma najikuta namaliza bando kwa kingereza chako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom