MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Wadau,
Kuna dada mmoja toka familia ya Rockerffeller amemvamia Rais Kikwete kwenye facebook Yake. amewachamba na wapambe wake kisawasawa. anadai familia yake imetoa michango mingi tanzania na kusaidia NGO's na serikli lakini hawaoni hela zao zilipokwenda. Anawaonywa watanzania kutokumpigia kikwete Kura
Someni hapa We're in last day... | Facebook
Moderator wa Facebook page ya JK AMEFUTA comments zote za Lisa Rockerfeller! LOL
Wanaogopa nini? Si watashinda tu huo Urais? Kazi kwenye Ubunge na Udiwani. HUKO hawana chao!
Halafu huyo Ernesto Sheka asijifanye mnjanja! Tushamshtukia! LOL