Lipumba: Waislam Tanzania piganieni haki zenu na msirudi nyuma

Status
Not open for further replies.

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Mh Lipumba juzi Ijumaa alikuwa katika msikiti wa Haq huko Morogoro na kuwataka waislam kutorudi nyuma kuhusu kudai madai yao ya msingi hapa tz
i)Kuitaka CCM kutekeleza ahadi yake ya mahakama ya Kadhi
ii)OIC kwani alidai OIC inafaida kubwa katika uchumi wa nchi akatoa Mfano Uganda na Msumbiji.
ii)Mabadiliko katika baraza la Mitihani (NECTA) kuwa taaisi ya Umma na sio Taaisi ya Kanisa kama ilivyo hivi sasa.

Aliwataka waislam wasiogope vitisho vya dola kwani wakiiogopa haki zao zitaendelewa kupigwa dana dana.

HONGERA LIPUMBA. MUPO VIONGOZI WACHACHE MNAUJUA UKWELI. SIO MAPKA SHULE ZA WAKATOLIKI ZISHIKE MKIA NDIO BAADHI YA WANASIASA WAANZE KUONA UBAYA WA NECTA.

TUNAOMBA UICHAMBUE HILI DUDU LA MOU LINALOWAFANYA WAKATOLIKI WASHIKE NAFASI 10 BORA ZA NECTA
 
Mh Lipumba juzi Ijumaa alikuwa katika msikiti wa Haq huko Morogoro na kuwataka waislam kutorudi nyuma kuhusu kudai madai yao ya msingi hapa tz
i)Kuitaka CCM kutekeleza ahadi yake ya mahakama ya Kadhi
ii)OIC kwani alidai OIC inafaida kubwa katika uchumi wa nchi akatoa Mfano Uganda na Msumbiji.
ii)Mabadiliko katika baraza la Mitihani (NECTA) kuwa taaisi ya Umma na sio Taaisi ya Kanisa kama ilivyo hivi sasa.
Aliwtaka waislam wasiogope vitisho vya dola kwani wakiiogopa haki zao zitaendelewa kupigwa dana dana

Inabidi aache uprofesa awe Sheikh sasa
 
Aende Marekani tena ili akirudi tumpokee eyapoti kwa maandamano! Umaarufu utarudi tena.
 
Tatizo hawa wenzetu wasomi na wasio wasomi wengi wao hawana tofauti.
 
Kama nayeye anaamini kwamba NECTA ni taasisi ya kanisa, basi kuna haja ya kuwasaili upya hawa Maprofesa wetu!
 
Hivi mnashangaa nini? Cuf na Uamsho ni chanda na pete, hivi mnadhani kakosea? Malengo ya cuf yanafahamika ni udini, mwenye macho haambiwi tazama, ni kazi ya akina ponda, mohamed issa na wenzake, cuf ni hatari kwa umoja wa taifa letu!
 
Mh Lipumba juzi Ijumaa alikuwa katika msikiti wa Haq huko Morogoro na kuwataka waislam kutorudi nyuma kuhusu kudai madai yao ya msingi hapa tz
i)Kuitaka CCM kutekeleza ahadi yake ya mahakama ya Kadhi
ii)OIC kwani alidai OIC inafaida kubwa katika uchumi wa nchi akatoa Mfano Uganda na Msumbiji.
ii)Mabadiliko katika baraza la Mitihani (NECTA) kuwa taaisi ya Umma na sio Taaisi ya Kanisa kama ilivyo hivi sasa.
Aliwtaka waislam wasiogope vitisho vya dola kwani wakiiogopa haki zao zitaendelewa kupigwa dana dana

haoni sababu ya kuongea vitu responsibly kwavile mara zote waisilam wapo salama mikononi mwa makafiri,ila wao ndio wana-terrorize others.Hiyo ndio fahari yao na mara zote ndoto zao hazikosi hayo matendo.

Mwisho was siku ni ngumu kuwatofautisha waislam kwa lolote.Every muslimu is a potential threat to non-muslims lets alone a fellow muslim.Lipumba na enjey sana tembelea religious mine field anayoipalilia.

Muda si mrefu watanzia watajua kuwa shida ya hii nchi si waislam kubaguliwa wala nini bali ni uislam wenyewe.Kwa miaka mingi watanznaia wamekuwa terrorized kwa kukuta nguruwe wao wameuliwa,wengine kuchomea ndani, wengine kuuwawa hadharani na polisi kubakia kuficha ukweli kwa kusema ni kitendo cha kijambazi au hata kitendo cha visasi binafsi.tunakaribia kuujua uislam kw agharama kubwa.Wamejiweka kila mahali,sasa wanataka baraza la mitihani ili wapitishe mamluki wanaokuja lazimishwa shika nafasi muhimu kuwafanya wakifanya mauaji pasiwe na ushahidi kama muawaonavyo akina kova leo,mwema na wengine walivyo wataalamu wa kudownplay ugaidi, huku wakiwaita magaid wasio magaidi.Soon mtajikuta kila kitu kikiwa corrupt na hii imani.
 
Kweli rev msigwa alisema akili ndogo inatawala akili kubwa. Statement ya professor haina tofauti na mtu wa darasa la saba. Prof lipumba ameongea pumba kabisa. Afadahali unyamaze kimya kuliko kuwa kama Sh Ponda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom