ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Duu eh, no comme may allah, be with u!Stupidity at its highest level! Bora hata ku-export terrorists kuliko ku-export huu uwendawazimu wako.
Duu eh, no comme may allah, be with u!Stupidity at its highest level! Bora hata ku-export terrorists kuliko ku-export huu uwendawazimu wako.
Mh Lipumba juzi Ijumaa alikuwa katika msikiti wa Haq huko Morogoro na kuwataka waislam kutorudi nyuma kuhusu kudai madai yao ya msingi hapa tz
i)Kuitaka CCM kutekeleza ahadi yake ya mahakama ya Kadhi
ii)OIC kwani alidai OIC inafaida kubwa katika uchumi wa nchi akatoa Mfano Uganda na Msumbiji.
ii)Mabadiliko katika baraza la Mitihani (NECTA) kuwa taaisi ya Umma na sio Taaisi ya Kanisa kama ilivyo hivi sasa.
Aliwataka waislam wasiogope vitisho vya dola kwani wakiiogopa haki zao zitaendelewa kupigwa dana dana.
HONGERA LIPUMBA. MUPO VIONGOZI WACHACHE MNAUJUA UKWELI. SIO MAPKA SHULE ZA WAKATOLIKI ZISHIKE MKIA NDIO BAADHI YA WANASIASA WAANZE KUONA UBAYA WA NECTA.
TUNAOMBA UICHAMBUE HILI DUDU LA MOU LINALOWAFANYA WAKATOLIKI WASHIKE NAFASI 10 BORA ZA NECTA
kwao kila kitu cha wenzao ni chukizo na kufuru.wakati huo huo mafundisho ya kiislam yote yamejaa kufuru kwa dini nyingine na mizaha ya kutisha.Sijui kwanini duni haijaamka ni kuipiga marufuku kabisa hii dini ya hooligans.Wanafanya kazi kama mchw akuifanya dunia isiwe sehemu ya amani.Sijui kwanini wanapenda abudu Mungu wa kifo na si Mungu wa Amani na uhai.
Lipumba naye anaamini kuwa ataenda pewa mabikra 72 na mashoga 72?Mama Lipumba naye kaahidiwa nini?Kuna dawa inaitwa prozac kama sikosei inaweza saidia dunia kama hawa watu watapewa vidonge kadhaa.Huyu ndiye prof. Sijui naye anachambia mawe?naye analala maiti ya mke akifa?
Inabidi aache uprofesa awe Sheikh sasa
Aliyetangulia katangulia, badala ya KULALAMIKA kwanini Shule ZA katoliki zina tano bora, jengeni Shule zilizo bora ili zifikie hizo, it is a history, a fact hard fact thought!!!!
lipumba ni mjinga hasituletee uislam hapa fara kwel.
precisely!iko hivi: tutorial assistant-assistant lecturer-lecturer-senior lecturer-assistant professor then professor
"Uprofesa" haumzuii mtu kusema ukweli labda uwe profesa uchwara kama wale wenye PhD za kanisa zisizo na "digrii" hata ya kuombea maji.
Huyu bwana ni lazima atakuwa na nia ya uchochezi wenye lengo la kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini. Mwanasiasa anayefilisika kisiasa huanza kutumia vitu kama Udini,ukabila n.k. kama mtaji wao wa kisiasa. Wanasiasa wa aina hii ni wa kuogopwa kuliko ukoma. Nchi alizozitaja bado ni masikini wa kutupa. mfano: Uganda kimaisha ni wachovu hata kuliko sisi. Sasa hiyo OIC imewainua kivipi. Tungetarajia wawe Dubai ya Afrika mashariki.
kama ni tende tu, mbona wanaweza kwenda supermarketi na kujinunulia, na wala hilo haliitaji nchi kujiunga na OIC.Kwa hawa wenzetu wanapozungumzia misaada usijijaze imani ukadhani kuna la maana wanalozungumzia. Kwao misaada ni Kanzu, Tende, Tambi, Mikeka na Nyama za Kondoo wakati wa sikukuu ya Iddi.
Kwa kifupi analalamika kuwa kwa nini Waganda wapate tende na wao wasipate?