Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Katika siku za karibuni viongozi hawa wamekuwa wakitoa kauli mbalimbali za kuishambulia chadema,eti chadema inahatarisha amani nchini,lengo lao kuu limekuwa ni kuinusuru serikali ya JK na CCM
Pamoja na wao kufikiri zimwi likujualo halikukuli ukaisha,je wana uhalali wa tena wa kushirikiana na ccm kuishambulia chadema mpinzani mwenzao na wao wakajiita wapinzani?
Wamedhihirisha kukerwa na umaarufu wa chadema kuliko ufisadi wa ccm
watahukumiwa na historia
Pamoja na wao kufikiri zimwi likujualo halikukuli ukaisha,je wana uhalali wa tena wa kushirikiana na ccm kuishambulia chadema mpinzani mwenzao na wao wakajiita wapinzani?
Wamedhihirisha kukerwa na umaarufu wa chadema kuliko ufisadi wa ccm
watahukumiwa na historia