LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 98
- 287
Baadhi ya makocha na wachezaji wa zamani wamemzungumzia Messi Kwa aina tofauti:
Ronaldo ni magoli tu (ambayo anazidiwa na messi ukiangalia idadi ya mechi walizocheza)Kipaji anacho ila Ronaldo the goal scorer ndo funga kazi wangu
Juhudi mtu yeyote anaweza kufanya akafikia hiko kiwango, hata haaland akijitahidi anaweza kufika level za ronaldo.Tofautisha kati ya hivi vitu viwili kipaji na juhudi Messi ana kipaji asilia au tuseme Cha kuzaliwa Ronaldo ana juhudi na mazoezi pia yanachangia anajituma sawa sawa useme ..
Alikiba vs diamond alikiba ni kipaji diamond ni juhudi Na ubunifu.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Point Yako ni ipi mkuuJuhudi mtu yeyote anaweza kufanya akafikia hiko kiwango, hata haaland akijitahidi anaweza kufika level za ronaldo.
ila Messi ni impossible.
Wewe fikiria mnasema Messi sio goal machine lakini ndio anashika rekodi ya kufunga magoli mengi kwa mwaka 1 (90)
Read between the lines utaelewa
Hivi huu ujinga wa kusema Ronaldo ana juhudi sio kipaji nani aliuanzisha?Tofautisha kati ya hivi vitu viwili kipaji na juhudi Messi ana kipaji asilia au tuseme Cha kuzaliwa Ronaldo ana juhudi na mazoezi pia yanachangia anajituma sawa sawa useme ..
Alikiba vs diamond alikiba ni kipaji diamond ni juhudi Na ubunifu.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app