AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
we Gaga wewe......wengine tupo kazini hapa......dah
Pauline.....nimeipenda style yako, mwanamke aibu kidogo inaswihi bana.....ila napata mashaka kama KWELI vi G_string hujawahi/huvitumii...eeeh mama...:mod::tonguez:
Uache kumsingizia Gaga....lo.... Hiyo post ya kitu red na maneno ya Gaga yepi yanakupotezea concetration....