Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
Nimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.