MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
hivi ndo likizo gani mnazowapa wanafunzi wetu, yaani watoto wanakaa wiki mbili halafu wanarudi kusoma wiki 2,then wanfunga tena, This is totally insane!Kwa taarifa yenu watoto hawasomi na waalimu hawafundishi,watoto wanacheza mpira tu na waalimu wanapiga soga!It does not make sense at all:watoto wamefanya mitihani na matokeo wamepewa from what miracles waalimu wao watahangaika kumfudisha mtoto kwa wiki mbili then wafunge shule! You good people could help in this, huku ni kusumbua watoto!Sie wote tumetoka huko na sasa tuna fanya vitu ambavyo tusingependa kufanyiwa!Ndio kwani nani angetaka apewe likizo za mikatomikato kama hii, eti kwa sababu ya sensa,ipi hiyo kwa minajili ipi,kwani huko likizo kunazuiaje sensa,watoto wanaweza kuhesabiwa nyumbani au shule!Mtoto anayesoma boarding na wazazi wako mbali ataweza kweli hii nenda rudi yenu!KAMA WIZARA ICHOKA KUFIKIRI NAMNA BORA YA KUUNGANISHA MATUKIO WANGEOMBA USHAURI HATA KWA WATOTO WENYEWE,NINA HAKIKA WANGEPATA USHAURI MZURI KULIKO HAYA WANAYOFANYA!HII SIO HAKI KWA WATOTO NA WAZAZI!