Niweke mambo sawa tu kwamba mimi ni shabiki wa Azam FC.
Ni shabiki wa Man City vile vile. mwisho wa msimu mkiwa mnatoa pongezi msinisahau.
Kamanda kwa jinsi Simba mlivyokuwa na njaa mwaka huu nategemea kuwaona mkishuka daraja. Siunajua kuwa Kabouru ndiye amekuwa akiwasaidia angalau kwa kununua mechi ndipo mnashinda sasa ameshaachia ngazi na anaisupport Ashanti Utd kwahiyo mwaka huu ni mwaka wa mateso kwenu.
Kwa kikosi tulichosajili Yanga sioni timu hata moja ya kutusimamisha. Ninatarajia ushindani kutoka kwa Azam(wateja wetu hawa), Coastal Union na Ruvu Shooting lakini timu nyengine zilizobaki tutazishikisha adabu tu kiroho safi.
Mkuu Mphamvu nimechukizwa sana na Simba kutumika kisiasa.
Kwa hiyo, nitakuwa kwenye mgomo wa mwaka mmoja kutoiunga mkono Simba kwa njia yoyote ile ikiwa ni pamoja na kutoichangia hata senti moja yangu kwa kununua tiketi za mechi, jezi zao na kutopoteza muda wangu kuitetea kwenye hili jukwaa.
Hii pia itakuwa ni mwendelezo wa https://www.jamiiforums.com/sports/403020-kwa-nini-mimi-ni-mshabiki-wa-manchester-united.html
Mkuu Mphamvu nimechukizwa sana na Simba kutumika kisiasa.
Kwa hiyo, nitakuwa kwenye mgomo wa mwaka mmoja kutoiunga mkono Simba kwa njia yoyote ile ikiwa ni pamoja na kutoichangia hata senti moja yangu kwa kununua tiketi za mechi, jezi zao na kutopoteza muda wangu kuitetea kwenye hili jukwaa.
Hii pia itakuwa ni mwendelezo wa https://www.jamiiforums.com/sports/403020-kwa-nini-mimi-ni-mshabiki-wa-manchester-united.html
mkuu kwa kikosi chako cha madogo, msimu huu hauhitaji kombe nini? naona unataka kugombea nafas ya 4 na kina kagera/mtibwa
mwaka huu yanga ambaye amezoea kununua itakuwa ngumu sana..
Nakuunga mkono kwa kuisusia Simba, hizi ndizo harakati zenyewe. Lakini kushabikia Manchester no, hawa watu wanaendelea kututumia kwa kila namna, kuna maana gani kutochangia timu zetu halafu unachangia biashara za wazungu. Ndio, Manchester ni kampuni na inaingiza siku wewe unapokaa bandani na kupaza sauti kuishabikia...
mwaka huu yanga ambaye amezoea kununua itakuwa ngumu sana..
Msimu wa wana msimbazi huu..
Mkuu sii vibaya niki kurekebisha hapo WABABE, m-babe pekee ni Azam, hao wengine ni wakongwe.Ligi ya mwaka huu naisubiri kwa hamu sana...
Sababu kubwa ni imani niliyonayo juu ya timu nyinginezo ukiacha wababe Yanga na Simba...
Timu kama Coastal Union "Wagosi wa Kaya" wamefanya usajili mzuri mno, na historia inaonesha hawa jamaa wakiwa wazuri basi ligi huwa ya ushindani sana...
Mashabiki wote mliohamia AZAM kutokea SIMBA mwaka huu kwenu ni MAJANGA tu.
huku mitaa ya twiga na jangwani ikiwa raha.
Msimu wa wana msimbazi huu..
Ha ha ha aaah!! Huoni tabasamu hilo kwenye avatar, hii yote ni kufurahia namna chma letu lilivyo poa msimu huu.Are you sure? Hebu kenua kwanza hapo kwenye avatar yako, tuone kama kweli huu ni ,mwaka wa Simba.
Heri yako uliyesoma nyakati.