Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Kwa hali hii inayoendelezwa na sera za ANGUKA (Ari, NGUvu na KAsi ) Mpya, zinanipa hasira kutaka kujua lile fagio la chuma lipo wapi kuwafagia hawa wabadhirifu, mafisadi, manyang'au wanaolipeleka Taifa letu katika sera za kubaguana yaani wenye nazo na makaputi.
Nauliza tena Fagio La Chuma lipo wapi? Au limepata kutu na kuvunjika?
Nauliza tena Fagio La Chuma lipo wapi? Au limepata kutu na kuvunjika?