Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
Ule unafiki wa CHADEMA kutumia migongo ya Taasisi mbalimbali kujinufaisha kisiasa umebainika l
Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho
Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo
My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga
Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho
Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo
My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga