Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Ebwana waungwana na mimi naona ni bora niulize swali langu kabisa.
Waheshimiwa Ma MD, mimi nina tatizo la mba usoni tuu, na utokea only kwenye mikunjo ya pua na kwenye masharafa. Nimekwenda kuonana na madoctor wengi sana wa skin huku ng'ambo lakini wengi wameshindwa kuutambua.
Mba huu ninao tangu nina miaka 12 na sasa ni mtu mzima, lakini huwa natumia cream ambayo huuondoa then nikiacha kutumia tuu unarudi. Wakati nipo Tanzania nilikuwa natumia gentrisone lakini ikawa inanifanya nionekane kama najichuba. So, miaka kama 8 iliyopita niliwa pita UK nikakuta dawa moja inaitwa demovate oitment. Hii ikawa hainichubui lakini mba unapotea na naitumia kama once a week.
Lakini naogopa kuendelea kutumia hizi cream naweza kujipa kansa, baadhi ta ma physician hapa US waliniambia ni bora niendelee kutumia mpaka certain age then utapotea wenyewe, i don't believe that.
Nimewai kunywa dawa za kumeza kama crotimazole lakini still upo pale pale.
swala la muhimu Jee mba wa usoni unaweza kusababishwa na mba wa kichwani? kwani nikiacha nyewele kidogo tuu ndio huu wa usoni uchachamaa. Na mba wangu sio kama ule wa kuonyesha mabaka, wangu hujionyesha kama mabaka meupe nisipopaka mafuata.
Thanks, Nadhani maelezo yatakuwa yamesaidia.
Waheshimiwa Ma MD, mimi nina tatizo la mba usoni tuu, na utokea only kwenye mikunjo ya pua na kwenye masharafa. Nimekwenda kuonana na madoctor wengi sana wa skin huku ng'ambo lakini wengi wameshindwa kuutambua.
Mba huu ninao tangu nina miaka 12 na sasa ni mtu mzima, lakini huwa natumia cream ambayo huuondoa then nikiacha kutumia tuu unarudi. Wakati nipo Tanzania nilikuwa natumia gentrisone lakini ikawa inanifanya nionekane kama najichuba. So, miaka kama 8 iliyopita niliwa pita UK nikakuta dawa moja inaitwa demovate oitment. Hii ikawa hainichubui lakini mba unapotea na naitumia kama once a week.
Lakini naogopa kuendelea kutumia hizi cream naweza kujipa kansa, baadhi ta ma physician hapa US waliniambia ni bora niendelee kutumia mpaka certain age then utapotea wenyewe, i don't believe that.
Nimewai kunywa dawa za kumeza kama crotimazole lakini still upo pale pale.
swala la muhimu Jee mba wa usoni unaweza kusababishwa na mba wa kichwani? kwani nikiacha nyewele kidogo tuu ndio huu wa usoni uchachamaa. Na mba wangu sio kama ule wa kuonyesha mabaka, wangu hujionyesha kama mabaka meupe nisipopaka mafuata.
Thanks, Nadhani maelezo yatakuwa yamesaidia.