Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 248
Hivi Hawa jamaa .kweli wako kibiashara Leo cku yatatu kuanzia kwa aziz hali mpka mbagala yote kijichi charambe.nk mbona ilishirika bado wamelala sana je ingekuwa maeneo ya msasani masaki Hii kitu kingekua hivi kweli.