Leo nimerudia kuzisikiliza Msinitenge, Ni Kazeze, Kosa la Marehemu, Bush Party na Homa Dunia

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,147
16,132
Baada ya kumaliza kumshukuru Maanani Muumba Mbingu na ardhi. Nikapata kikombe cha kahawa, nikatafakari yale yangu ya siku na ratiba za hapa na pale lakini akili ikanisukuma kusikiliza kidogo music.

Katika kuchakura makabrasha mkono ukaangukia kwenye kazi ya kizazi cha kati cha muziki wa vijana wa miaka ile ya 90's, walioweka heshima na kuchonga barabara. Ambayo kizazi hiki hawaumizi kichwa wanaserereka tu.

Ghafla nikaona jina Msinitenge Profesa J, nikaona Ni kazeze wa OCG, nikakutana na kosa la marehemu uswahili ni matola nikaugusa bush party Sold ground family na homa ya dunia Solo thang na ingekuwa vipi Mwana FA.

Nikasema hizi zinatosha kuisikiliza kwa kweli nikiri kile nilichokisikia nikarudia nikagundua baki ya beat nzito na mistari.

Jamaa walikuwa ni wabunifu na waliumiza vichwa nina hakika kizazi hiki hata wakusanyane wote hawawezi kufikia ule uwezo, ni vile tu zilikuwa zama za kale za giza ila hawa wakongwe wanastahili kujengewa minara.

Nilipomaliza kusikiliza nikaingia kwenye vokswageni beatle yangu mgongo wa chura nikajikata kwenye mishe zangu!

Kweli ya kale ni dhahabu nini mnataka mazee!
 
Baada ya kumaliza kumshukuru Maanani Muumba Mbingu na ardhi.Nikapata kikombe cha kahawa ,nikatafakari yale yangu ya siku na ratiba za hapa na pale .

Lakini akili ikanisukuma kusikiliza kidogo music.

Katika kuchakura makabrasha mkono ukaangukia kwenye kazi ya kizazi cha kati cha muziki wa vijana wa miaka ile ya 90's, walioweka heshima na kuchonga barabara.

Ambayo kizazi hiki hawaumizi kichwa wanaserereka tu,
ghafla nikaona jina Msinitenge profesa j nikaona ni kazeze wa OCG, nikakutana na kosa la marehemu uswahili ni matola nikaugusa bush party Sold ground family na homa ya dunia Solo thang na ingekuwa vipi Mwana fa.

Nikasema hizi zinatosha kuisikiliza kwa kweli nikiri kile nilichokisikia nikarudia nikagundua baki ya beat nzito na mistari.

Jamaa walikuwa ni wabunifu na waliumiza vichwa nina hakika kizazi hiki hata wakusanyane wote hawawezi kufikia ule uwezo,
ni vile tu zilikuwa zama za kale za giza ila hawa wakongwe wanastahili kujengewa minara.

Nilipomaliza kusikiliza nikaingia kwenye vokswageni beatle yangu mgongo wa chura nikajikata kwenye mishe zangu!

Kweli ya kale ni dhahabu nini mnataka mazee....!
Hiyo inaitwa Narrative lyrical styles huwezi kuipata kwa vijana wa Sasa hivi..
Kote East Africa..
Jiulize kipindi hicho Hawa K sal walikuwa wakenya ila Usingeweza kuwatofautisha na Watanzania waru akama Hardmad na wengine..

Nakuomba Rudi kasikilize Mkiwa ya Ksal feat Ferouz...
Uone watu walivyokuwa wakitunga halafu ukisikiliza kiswahili Rudi niambie yule alikuwa Mkenya au Mtanzania...
 
Hiyo inaitwa Narrative lyrical styles huwezi kuipata kwa vijana wa Sasa hivi..
Kote East Africa..
Jiulize kipindi hicho Hawa K sal walikuwa wakenya ila Usingeweza kuwatofautisha na Watanzania waru akama Hardmad na wengine..

Nakuomba Rudi kasikilize Mkiwa ya Ksal feat Ferouz...
Uone watu walivyokuwa wakitunga halafu ukisikiliza kiswahili Rudi niambie yule alikuwa Mkenya au Mtanzania...
Hakika kabisa kazi ilikua kubwa mshahara mdogo!
 
Usisahau kusikiliza na Bongo Dar-es- Salaam ya Professor J, halafu njoo sikiliza Habari ndio hiyo ya mwana FA/AY na mwisho malizia na Ni mtazamo ya Afande Sele featuring Solo thang, Professor Jay.

Jamaa walikuwa wanatoa ngoma kaliii.
Hakuna S bila O hakuna L bila O .afande profesa wapi chochoro.......
 
Baada ya kumaliza kumshukuru Maanani Muumba Mbingu na ardhi. Nikapata kikombe cha kahawa, nikatafakari yale yangu ya siku na ratiba za hapa na pale lakini akili ikanisukuma kusikiliza kidogo music.

Katika kuchakura makabrasha mkono ukaangukia kwenye kazi ya kizazi cha kati cha muziki wa vijana wa miaka ile ya 90's, walioweka heshima na kuchonga barabara. Ambayo kizazi hiki hawaumizi kichwa wanaserereka tu.

Ghafla nikaona jina Msinitenge Profesa J, nikaona Ni kazeze wa OCG, nikakutana na kosa la marehemu uswahili ni matola nikaugusa bush party Sold ground family na homa ya dunia Solo thang na ingekuwa vipi Mwana FA.

Nikasema hizi zinatosha kuisikiliza kwa kweli nikiri kile nilichokisikia nikarudia nikagundua baki ya beat nzito na mistari.

Jamaa walikuwa ni wabunifu na waliumiza vichwa nina hakika kizazi hiki hata wakusanyane wote hawawezi kufikia ule uwezo, ni vile tu zilikuwa zama za kale za giza ila hawa wakongwe wanastahili kujengewa minara.

Nilipomaliza kusikiliza nikaingia kwenye vokswageni beatle yangu mgongo wa chura nikajikata kwenye mishe zangu!

Kweli ya kale ni dhahabu nini mnataka mazee!
Kwenye kahawa hapo wewe ni muongo.Hukunywa.Kipolo cha kiazi sawa.Haya tuendelee.
 
Hiyo inaitwa Narrative lyrical styles huwezi kuipata kwa vijana wa Sasa hivi..
Kote East Africa..
Jiulize kipindi hicho Hawa K sal walikuwa wakenya ila Usingeweza kuwatofautisha na Watanzania waru akama Hardmad na wengine..

Nakuomba Rudi kasikilize Mkiwa ya Ksal feat Ferouz...
Uone watu walivyokuwa wakitunga halafu ukisikiliza kiswahili Rudi niambie yule alikuwa Mkenya au Mtanzania...
Ksal mbongo
 
Ksal mbongo
HApana kutoka kenya Huyo kipindi hicho kulikuwa na Fused ya Bongo Flava ilikuwa East Africa nzima (Kipindi hichi East afrika ni nchi tatu tu)

baadae ndo kukatokea utengano kukawa na Genge. (Kutoka kenya) na Kapuka..(Kutoka uganda)
 
HApana kutoka kenya Huyo kipindi hicho kulikuwa na Fused ya Bongo Flava ilikuwa East Africa nzima (Kipindi hichi East afrika ni nchi tatu tu)

baadae ndo kukatokea utengano kukawa na Genge. (Kutoka kenya) na Kapuka..(Kutoka uganda)








Wikipedia
Search

K-South​



Learn more

This article needs additional citations for verification. (November 2013)
K-South was a Kenyan hip-hop duo made up of "Bamboo" (Tim Kimani) and "Doobeez'" (Jerry Manzekele), now known as "Abbas Kubaff". Founded in 1995, K-South is among the most notable pioneers of the genre in Kenya. The name is an abbreviation of Kariobangi South, the Nairobi neighbourhood where they were based. The group used both English and Swahili raps in their music.
K-South
OriginKariobangi, Nairobi, Kenya
Years active1995–2005
LabelsSamawati Studios
Past membersBamboo
Doobeez
The band's first album, Nairobbery, was released in 2002 by Samawati Studios and contains some of their earliest hits, such as "Tabia Mbaya". Also on the album is "Illektrikk Posse", featuring the Zimbabwean rapper Mizchif and the Ugandan artists Bebe Cool. K-South's second and final album, Nairobizm, was released in 2004. One of its most played tracks was "Kapuka", which coined kapuka as a derogatory term referring to more commercial artists. After the album they left their label Samawati, due to disputes.[1]
K-South was featured on "Sitaki", a popular track by the Kenyan R&B female musician Mercy Myra.
The duo disbanded in 2005, when Bamboo left the group after becoming a devout Christian. He has since concentrated on gospel rap.[2] Earlier, Bamboo released a secular solo track "Compe". Doobiez now performs under the stage name Abbas and released the critically acclaimed album Angabanga in 2006.[3]

References​



External links​





Last edited 8 months ago by Bearcat

Wikipedia



24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 







Wikipedia
Search

K-South​



Learn more

This article needs additional citations for verification. (November 2013)
K-South was a Kenyan hip-hop duo made up of "Bamboo" (Tim Kimani) and "Doobeez'" (Jerry Manzekele), now known as "Abbas Kubaff". Founded in 1995, K-South is among the most notable pioneers of the genre in Kenya. The name is an abbreviation of Kariobangi South, the Nairobi neighbourhood where they were based. The group used both English and Swahili raps in their music.
K-South
OriginKariobangi, Nairobi, Kenya
Years active1995–2005
LabelsSamawati Studios
Past membersBamboo
Doobeez
The band's first album, Nairobbery, was released in 2002 by Samawati Studios and contains some of their earliest hits, such as "Tabia Mbaya". Also on the album is "Illektrikk Posse", featuring the Zimbabwean rapper Mizchif and the Ugandan artists Bebe Cool. K-South's second and final album, Nairobizm, was released in 2004. One of its most played tracks was "Kapuka", which coined kapuka as a derogatory term referring to more commercial artists. After the album they left their label Samawati, due to disputes.[1]
K-South was featured on "Sitaki", a popular track by the Kenyan R&B female musician Mercy Myra.
The duo disbanded in 2005, when Bamboo left the group after becoming a devout Christian. He has since concentrated on gospel rap.[2] Earlier, Bamboo released a secular solo track "Compe". Doobiez now performs under the stage name Abbas and released the critically acclaimed album Angabanga in 2006.[3]

References​



External links​





Last edited 8 months ago by Bearcat

Wikipedia



24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
Sorry niliwachanganya Ksal na k-south Dah uzee mbaya bhna..
Uko sahihi Ksal alikuwa mbongo ila ksouth walikuwa wakenya
 
Back
Top Bottom