The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Sikuwezi kwa nahau..........!
Utaniweza tu
Sikuwezi kwa nahau..........!
kwani The Boss ni jina la mtu au cheo chake.........?
Nicas Mtei ........... Nina mtihani mkubwa sana mbele yangu..........maana kila saa ananiita ofisini kwake eti nimfundishe kiswahili.................Mtambuzi angalia ustawi wa ajira.
Cantalisia ............. Pamoja na kutumia mafumbo lakini umeona...!Na ratiba ya kurudi hm ikibadilika tu namwambia mama kuhusu huyo Suriama wako!
Maana wewe mzee hata hueleweki!
The secretary .......... Wiki ijayo naandika, "nimeonana na The secretary" Halafu namtaja huyu Mwamvua sekletali wetu hapa kiwandani................LOLUtaniweza tu
Cha msingi ni masharti na vigezo kuzingatiwa!Cantalisia ............. Pamoja na kutumia mafumbo lakini umeona...!
Nikiyasikia haya maneno kwa mama Ngina utanikoma................................LOL
suriama ndo chotara? Kweli kiswahili kigumu!
Mtambuzi atakuwa alimaanisha 'Surinami' . Hilo ni koloni la waholanzi.
Mtambuzi uishiwi ucheshi..leo tupo na chotara The Boss eeh..asante wee Gustavo)
BelindaJacob ..................Suriama ni mtu aliyechanganya damu ya makabila mawili..............kama wewe hapo baba yako ni Msukuma na mama yako ni Mchaga basi tutasema wewe ni suriama wa Kisukuma na KichagaMtambuzi atakuwa alimaanisha 'Surinami' . Hilo ni koloni la waholanzi.
Mtambuzi uishiwi ucheshi..leo tupo na chotara The Boss eeh..asante wee Gustavo)
Kipipi .............. Gustavo ni jina ambao lilizaliwa kutokana na uzi huu hapa chini:Hiyo swagga ya mwisho uloitumia (Gustavo).....ndo nini??
The secretary .......... Wiki ijayo naandika, "nimeonana na The secretary" Halafu namtaja huyu Mwamvua sekletali wetu hapa kiwandani................LOL
Kumbe ni suriama aliyechanganya damu ya Kiholanzi na Kitanzania. Mama yake ni M-TZ na baba ni Mholanzi. Wakati anaripoti hapa kazini kwetu kama CEO wetu mpya akitokea nchini Uingereza yalipo makao makuu ya kampuni yetu nilikuwa nimesafiri kikazi na leo hii niliporipoti kazini ndio nimetambulishwa kwake rasmi. Nilipata muda wa kubadilishana naye mawazo kwa muda mfupi………..Kwa bahati mbaya hajui Kiswahili vizuri, lakini nimemuahidi kumfundisha lugha hiyo. Huyu atakuwa ndiye The Boss wetu mpya aliyekuja kuchukuwa nafasi ya Boss wetu aliyemaliza muda wake.................................