Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,996
Maisha ya chuo yanaraha na karaha zake bhana yani ni sawa pepo na dunia unaishi muda mchache maisha magumu then unaambiwa bata lipo peponi unaishi katika uzima wa milele,naamini kabisa kwa mliosoma DODOMA UNIVERSIT -UDOSO sio kitu kigeni yaani mashauzi mengi na hasa mawaziri wa fedha(wanajiona kama mwigulu) kumbe makopo tu wakifika kitaa.