sembuli
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 757
- 383
majority ya wenyeji wa mkoa wa mbeya wana akili kichwani na hawatumii makalio kufikiri ,NAKUSHANGAA WEWE AKILI MBOVU UMEITOA WAPI? au hilo jina ulipewa kwa heshima ya daktari aliyekuwa kijijini kwako wakati unazaliwa?wewe ndio tukuulize unafanya haya kwa maslai ya nani? kila mtu mwenye akili timamu anajua Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo watanzania