Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
asante sana ......... (33?)
hhahahahaha 33 nimekisia tu... sabau huwa hamtaji mmefikisha mingapi..
asante sana ......... (33?)
Asante sana mkuuhappy birth day!
umeenda chaka vibaya sana, nimetimiza 55, lol!hhahahahaha 33 nimekisia tu... sabau huwa hamtaji mmefikisha mingapi..
umeenda chaka vibaya sana, nimetimiza 55, lol!
umeenda chaka vibaya sana, nimetimiza 55, lol!
umeona mambo ya kulinganisha avatar na mtu.........avantar yako imenipeleka pori.... lakini bado siamini..
Asante mzee mwenzangu, yaani tulikumissije?huu mnuso ulinipitaje,au nilikuwa bize navizia kufumania mtu?
Hauolayunao?
Happy birthday FP!
Thanx mjukuu FilipoHbd grandma @FP!
mimi love u too my dear, thanx againahsante dada mkubwa!
nafurahi kama uliipenda kamwali!
mimi love sana
umeona mambo ya kulinganisha avatar na mtu.........
umeona eeeh!kweli na maisha haya ya kichina china... wa miaka 60 anaonekana ana 40
Thank you my dearHappy Birthday my lovely sister FP. May you live as long as you wish and love as long as you live.
uwiiii....nadhani sijachelewa kwenye hii sherehe.....heri ya siku ya kuzaliwa wifi..(nina dalili za kumkubali kaka yako lakini usimwambie mtu..)...hivi vyombo vishaoshwa....?
Asante sana wifi yangu mpenzi, hujachelewa wifi, vyombo ndo vinakusubiri wewe.uwiiii....nadhani sijachelewa kwenye hii sherehe.....heri ya siku ya kuzaliwa wifi..(nina dalili za kumkubali kaka yako lakini usimwambie mtu..)...hivi vyombo vishaoshwa....?
Asante sana rafiki, uliza nimebakiza miaka mingapi kupata penseni yangu? lol!Happy birthday FP may God grant you whatever you desire. BTW si umefikisha miaka 18?