MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Hongera na ni vizuri kujipanga kwa maisha ya kesho..
Elimu ni gharama..
Elimu ni gharama..
Hongera sana kaka. Kajiswali kadogo, ni shule za aina gani hizo ulizolipa hizo karo? Nna imani muda huu utakuwa uko sober!
Hick hick...hujanipa hata raundi hick hick....shawa bwana hick hick...
Hongera na ni vizuri kujipanga kwa maisha ya kesho..
Elimu ni gharama..
Ndo tatizo la Wazazi wetu kama hawa hawana PLAN hata hawazi kesho itakuwaje!!
Anachowaza ni ULABU 2,Vipi hapo home m2 akiugua ghafula ume2nza chochote??!!
Hongera kwa kukamilisha malengo! ila kama ukiweza achana na mipombe haina issue. Utaishia kujuta tu asubuhi baada ya ulabu kuisha kichwani.
Tena na ninyi wahaya mnapokunywa pombe yote inahamia chini kwenye utu uzima ( i am sure unanielewa)
Ahsante. 2 Children...St. Mary's Primary School
1 Kifungilo Girls SS
1 Marian Girls' High School
1. St. Mark's Secondary School
1 University of South Africa
Watu wakule tunawafahamu kwa mikogo....."mama kokuu niletee hiyo bilioni moja kwenye dressing table nimpatie kemilembe aende shule..."