OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,647
- 9,236
Jamaa kaanza kuwafunga midomo wachambuzi uchwara na wapiga ramli chonganishi kulikoni? Mbona mpo kimya au hamjaona shughuli yake?
Kweli mpaka wanaoana jinsia mojaSkudu hana match fitness tu,ni entertainer. Halafu anatokea nchi iliyoendelea
😂😂😂😂 porto sioTatizo Watz huwa Wanataka Matokeo ya Chapchap...huwa hawana Muda Wa Kumsikilizia mtu...!
CR7 Pengine asingejulikana Dunia iwapo Mzee Fergie asingemsikilizia kipindi kile anapokelewa Kutokea FC Porto ya Ureno..!
jamaa anajua kujiposition na kuchomekea mipira ya pembeni tutegemee kumuona akitumiwa sana na kocha kama ilivyo kwa kibabageSkudu hana match fitness tu,ni entertainer. Halafu anatokea nchi iliyoendelea
Mashabiki maandazi aina hiyo wamejaa sana kule Makolokolo SC, goli 1 baada ya mechi 10 ndiyo Skudu aonekane bora, seriously?Jamaa kaanza kuwafunga midomo wachambuzi uchwara na wapiga ramli chonganishi kulikoni? Mbona mpo kimya au hamjaona shughuli yake?
ubora haujifichi mkuu jamaa nmegundua ni mchezaji mzuri sanaMashabiki maandazi aina hiyo wamejaa sana kule Makolokolo SC, goli 1 baada ya mechi 10 ndiyo Skudu aonekane bora, seriously?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
polepole,anaingizwa kwenye gemu,japo muda wake wa kuondoka ushafika?Kwahiyo Yanga wamesajili mchezaji wa Kimataifa kuja kukaa benchi na kukiwasha kwenye mechi ndogondogo kama hizi za Mtibwa Sugar? Km ni uvumilivu kwann tusingesajili kijana wa ndani tukamvumilia na kumjenga?
Na anajua kuji position, upande wa kushoto kipindi cha kwanza wamekimbiza sana na kibabageSkudu hana match fitness tu,ni entertainer. Halafu anatokea nchi iliyoendelea
Eenh, kwahiyo Ronaldo alitokea FC Porto sio?!Tatizo Watz huwa Wanataka Matokeo ya Chapchap...huwa hawana Muda Wa Kumsikilizia mtu...!
CR7 Pengine asingejulikana Dunia iwapo Mzee Fergie asingemsikilizia kipindi kile anapokelewa Kutokea FC Porto ya Ureno..!
Ila dogo anajua.Jamaa kaanza kuwafunga midomo wachambuzi uchwara na wapiga ramli chonganishi kulikoni? Mbona mpo kimya au hamjaona shughuli yake?
Polepole kwa mchezaji wa Kimataifa mzee ambaye hana resale value? Hivi huyu Skudu aliletwa pale Yanga kwa malengo gani?polepole,anaingizwa kwenye gemu,japo muda wake wa kuondoka ushafika?
DuhSkudu hana match fitness tu,ni entertainer. Halafu anatokea nchi iliyoendelea
🤔🤔🤔 huyo ni Ronaldo unayemzungumzia?CR7 Pengine asingejulikana Dunia iwapo Mzee Fergie asingemsikilizia kipindi kile anapokelewa Kutokea FC Porto ya Ureno..!