M mjogoro JF-Expert Member Feb 18, 2011 882 652 May 28, 2022 #1 Leo mashabiki wa Simba hasa mitandaoni wanaonekana kuwa na matumaini kibao tofauti na wenzao wa Yanga. Sijui ni kwanini.
Leo mashabiki wa Simba hasa mitandaoni wanaonekana kuwa na matumaini kibao tofauti na wenzao wa Yanga. Sijui ni kwanini.
fullcup JF-Expert Member Jun 21, 2016 806 2,182 May 28, 2022 #2 Hata Abdalah pazi (dullah mbabe)kabla ya pambano alipiga Domo Sana, baada ya pambano sinahaja ya kusema kilichotokea.
Hata Abdalah pazi (dullah mbabe)kabla ya pambano alipiga Domo Sana, baada ya pambano sinahaja ya kusema kilichotokea.
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,487 82,196 May 28, 2022 #3 mjogoro said: Leo mashabiki wa Simba hasa mitandaoni wanaonekana kuwa na matumaini kibao tofauti na wenzao wa Yanga. Sijui ni kwanini. Click to expand... Sisi tunasubiri tu mpira uanze ili ukweli ujulikane.
mjogoro said: Leo mashabiki wa Simba hasa mitandaoni wanaonekana kuwa na matumaini kibao tofauti na wenzao wa Yanga. Sijui ni kwanini. Click to expand... Sisi tunasubiri tu mpira uanze ili ukweli ujulikane.
koboG JF-Expert Member Apr 3, 2016 2,487 4,415 May 28, 2022 #4 sio mtandaoni pekee hadi huko kirumba simba wamejaaaaaaaaa kinoma noma
C Cashman JF-Expert Member Jun 8, 2018 2,345 4,035 May 28, 2022 #5 Hatuna kocha pale. Hadi sasa ninalaani kitendo cha kumwacha Morrison na kukosana na Chama halafu mnasingizia ana majeraha. Uongozi mkimwacha huyu jamaa mtapoteza mashabiki wengi
Hatuna kocha pale. Hadi sasa ninalaani kitendo cha kumwacha Morrison na kukosana na Chama halafu mnasingizia ana majeraha. Uongozi mkimwacha huyu jamaa mtapoteza mashabiki wengi
Peramiho yetu JF-Expert Member May 25, 2018 5,304 14,917 May 28, 2022 #6 Siku 1 kabla ya pambano bwana MANDONGA alitamba Sana Siku ya pambano round 1 chaliii Mpira dk 90 Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siku 1 kabla ya pambano bwana MANDONGA alitamba Sana Siku ya pambano round 1 chaliii Mpira dk 90 Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app