assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
mh LEMA AMEKOSA POLITICAL LEGITIMACY KUWASEMEA WATANZANIA KWANI AMESHAPROVE SEVERE POLITICAL FAILURE KILA AKIPANUA MDOMO ANAHARIBU REPUTATION YAKE KWA SPEED 100000000KM PER SEC
mh LEMA AMEKOSA POLITICAL LEGITIMACY KUWASEMEA WATANZANIA KWANI AMESHAPROVE SEVERE POLITICAL FAILURE KILA AKIPANUA MDOMO ANAHARIBU REPUTATION YAKE KWA SPEED 100000000KM PER SEC
...Mkuu Mungi. Lema ana akili nyingi mpaka jamaa wanamuona kichaa. Tuende nao taratibu, baadaye watajua kuwa kila alichokifanya Lema kuanzia kwa Mwigamba hadi kwa Zitto kilikuwa lazima kifanyike vile kilivyofanyika. njia nyingine yeyote ya "kistaarabu" isingetoa ukweli usio na mashaka - tukajua kumbe Masikini mkulima ni Mwigamba? wanaishia kuandika makala dhaifu eti Zito anafuatilia pesa za Uswis. Hivi Zitto ana uwezo kuzidi TISS? au TISS na CCM ndo wamempa dili. ana umaarufu gani huyu ambaye alinunuliwa na DOWANS, bila aibu akaanza kuitetea eti serikali inunue mitambo yake. serikali iliposhindwa kesi ya "kichina" akashangilia kiaina. Mnafiki mkubwa huyu anayelindwa na TISS na CCM. wapambanaji wanamwagiwa tindikali, wanang'olewa kucha, meno macho na wengine kuuwawa. Yeye eti kuna watu wanashtakiwa kutaka kumgaidi? Ni kweli ni mpambanaji dhidi ya CHADEMA, lakini atashindwa kwa nguvu za Allah! maana Allah hapendi wanafiki?Lema atawaumiza ccm awamu hii. Kila wakati vichwa vinamuwaza Lema.
Lema ndiyo habari ya mjini
hapo kwny red kuwa makini...mkuu mungi. Lema ana akili nyingi mpaka jamaa wanamuona kichaa. Tuende nao taratibu, baadaye watajua kuwa kila alichokifanya lema kuanzia kwa mwigamba hadi kwa zitto kilikuwa lazima kifanyike vile kilivyofanyika. Njia nyingine yeyote ya "kistaarabu" isingetoa ukweli usio na mashaka - tukajua kumbe masikini mkulima ni mwigamba? Wanaishia kuandika makala dhaifu eti zito anafuatilia pesa za uswis. Hivi zitto ana uwezo kuzidi tiss? Au tiss na ccm ndo wamempa dili. Ana umaarufu gani huyu ambaye alinunuliwa na dowans, bila aibu akaanza kuitetea eti serikali inunue mitambo yake. Serikali iliposhindwa kesi ya "kichina" akashangilia kiaina. Mnafiki mkubwa huyu anayelindwa na tiss na ccm. Wapambanaji wanamwagiwa tindikali, wanang'olewa kucha, meno macho na wengine kuuwawa. Yeye eti kuna watu wanashtakiwa kutaka kumgaidi? Ni kweli ni mpambanaji dhidi ya chadema, lakini atashindwa kwa nguvu za allah! Maana allah hapendi wanafiki?
...matatizo ya kipuuzi ndo yanakufanya ushinde na keyboard kutw kucha? basi bila shaka na wewe ni mpuuzi usiyejielewa,I don't have price tag, and pliz mimi sio kibaraka wa Zitto. M off cdm msitake kunilink na matatizo yenu ya kipuuzi.
werevu tunakupuuzaMkuu hebu nioneshe hilo tusi ambalo nimekitukana....Huenda labda matusi ninayoyajua mimi ni tofauti na unayoyajua wewe..
werevu tunakupuuza
Hivi Kapuya kubaka katoto cha miaka 14 alikuwa ana akili timamu...? Basi kama alikuwa na akili timamu CCM wote ni matahira......
CCM imelaaniwa laana za kila namna..
Kapuya kwa mabint hana tofauti na dr slaa.
acha uongo wewe kijana .
Lema ni mlemavu wa akili.
Kama mleta mada una uchungu na mabadiliko nenda hata CHAUMA,DAILY LEMA anakuumiza kichwa,na huyo CHAALI wa uskochi mwambie aje kupambana live sio kwenye mitandao kama ana uchungu na nchi hii,sio anakula kuku huku tukiathiriwa na mabomu ya machozi ya polisi dhalimu
Kama mleta mada una uchungu na mabadiliko nenda hata CHAUMA,DAILY LEMA anakuumiza kichwa,na huyo CHAALI wa uskochi mwambie aje kupambana live sio kwenye mitandao kama ana uchungu na nchi hii,sio anakula kuku huku tukiathiriwa na mabomu ya machozi ya polisi dhalimu